• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Hospitali ya Mji wa Korogwe yapata mashine mpya ya x-ray

Posted on: August 25th, 2020

Hospitali ya Mji wa Korogwe yapata mashine mpya ya x-ray

Wizara ya Afya imeipatia Halmashauri ya Mji wa Korogwe mashine mpya ya mionzi (x-ray) kwaajili ya Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga) ikiwa ni mkakati wa Serikali katika uboreshaji wa huduma za afya. Mashine hiyo imeanza kutoa huduma rasmi kuanzia Agosti 24, mwaka huu.

Akizungumzia mchakato wa mashine hiyo, Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi waHalmashauri ya wa  Mji wa Korogwe alisema “huduma za mionzi katika Hosptitali yetu ya Mji wa Korogwe tumeziboresha, wananchi wa Korogwe na Watanzania kwa ujumla tutawapatia huduma bora na kwaharaka zaidi”. Ndugu Bei aliendelea kufafanua kuwa mashine hiyo ni ya kisasa ina thamani ya Shilingi Milioni Mia Mbili.

Nae Dr. Elizabeth Nyema ambaye ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “tunatoa shukrani kwa Wizara ya Afya kwa kutupatia mashine mpya ambayo itasaidia kupunguza tatizo la huduma za mionzi katika hospitali yetu”. Dr. Nyema alisisitiza kuwa huduma za mionzi zitaendelea kutolewa kwa saa ishirini na nne na siku saba za wiki.

Kwa upande wa Dr. Heri Kilwale ambaye ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji wa Korogwe (Magunga) alisema “wataalamu wetu wa huduma za mionzi wamejipanga vyema katika utoaji wa huduma bora kwa wananchi ili kuhakikiasha Serikali inafikia lengo lake” Kwa upande wa wagonjwa waliopatiwa huduma ya mionzi baada ya mashine hiyo kuzinduliwa walisema “tunafuraha kubwa kwa kupatiwa huduma ya mionzi yenye uhakika na kwa haraka zaidi”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.