• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kupata Kibali cha Ujenzi

UTARATIBU WA UTOAJI WA VIBALI VYA UJENZI

Kibali cha Ujenzi ni kibali kinachotolewa na Halmashauri chini ya Sheria ndogo za Udhibiti wa ujenzi holela mijini na ambacho kitamruhusu mwananchi afanye ujenzi au ukarabati wa jengo.

UMUHIMU WA KUPATA KIBALI CHA UJENZI

•Kutimiza takwa la sheria ndogo za jiji

•Kuwezesha kujenga majengo na nyumba kama yalivyoelekezwa katika mipango miji wa jiji

•Kudhibiti ujengo holela

TARATIBU & KANUNI ZA UTOAJI WA VIBALI VYA UJENZI

Kuwasilisha michoro iliyokamilika na kujaza fomu inayotolewa na Halmashauri. Report submitted for Approval (RPA)”. Fomu hii imegawanyika katika sehemu tano (5), zinazohusisha wataalamu wafuatao;

•Mkaguzi wa Majengo (Building Inspector)

•Afisa Ardhi (Land Officer)

•Mpima  (Land Surveyor)

•Afisa Mipango Miji  (Town Planning Officer)

•Afisa Afya (Health and Sanitation Officer)

Kuwasilisha michoro iliyokamilika na kujaza fomu inayotolewa na Halmashauri Fomu itaambatanishwa na michoro iliyokamilika yaani “Architectural & Structural Drawings” na kupita kwa wataalamu wote watano (5) kama ilivyoonyeshwa hapo juu kwa ajili ya uhakiki kama ifuatavyo.

i.Mkaguzi wa Majengo (Building Inspector) - kuona kama michoro inakidhi haja ya kiufundi na specifications.

ii.Afisa Ardhi (Land Officer) – kuona kama umiliki wa eneo linaloendeleza ni halali, kukagua hati miliki, nk.

iii.Mpima wa Jiji (Land Surveyor) – kutambua mipaka halali

iv.Afisa Mipango Miji wa Jiji (Town Planning Officer) – Kuona kama ujenzi unaoombewa ni sahihi kwa mujibu wa michoro ya mipango miji, eneo la maegesho lipo, nk

v.Afisa Afya (Health and Sanitation Officer) – kuona kama usafi kwa ujumla na maji taka yatatunzwa vyema

Kama michoro na nyaraka za umiliki zimekidhi vigezo zitawasilishwa kwenye kamati ndogo ya mipango miji na utoaji vibali

Baada ya michoro na nyaraka kupita katika kamati ndogo ya mipango miji na utoaji vibali itapigiwa makadirio na mwombaji atapaswa kulipia gharama husika kwenye akaunti ya Halmashauri atakayopewa.

Mwombaji kuandaliwa kibali cha ujenzi kinachosainiwa na mhandisi wa ujenzi na afisa mipango miji


MUDA WA UPATIKANAJI WA KIBALI CHA UJENZI

•Endapo mwombaji atakamilisha hatua zote muhimu kwa wakati atapata kibali cha ujenzi ndani ya majuma mawili (2) hadi manne (4)

•Hii ni pamoja na kuwasilishaji wa ramani zilizoidhinishwa na wataalamu husika na hati za umiliki zilizo sahihi.

WAJIBU WA MWANANCHI

•Ni wajibu wa kila mwananchi kujenga au kukarabati nyumba yake iliyo ndani ya jiji kwa kibali kutoka Halmashauri

•Wakazi wote wa katikati ya mji wanapaswa kukarabati au kujenga nyumba za kwenda juu (maghorofa) tu.

•Hairuhusiwi kujenga au kukarabati nyumba za chini.

TAHADHARI

•Endapo mwananchi yoyote atajenga au kukarabati nyumba bila kibali cha ujenzi toka Halmashauri, atapewa ilani ya kusimamisha ujenzi au ukarabati na kushauriwa kufuata taratibu za kuomba kibali cha ujenzi ndani ya siku saba (7)

•Kama mwombaji atakaidi ilani ya kusimamisha, jiji litampa ilani ya kubomoa jengo lake mwenyewe na akishindwa jiji litabomoa kjengo husika na kudai mmiliki gharama za utekelezaji wa ubomoaji huo

•Wananchi wote wa  Mji wa Korogwe wanashauriwa kuacha ujenzi holela kwa kufuata sheria ndogo za ujenzi na kupata kibali cha ujenzi

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kwa awamu ya pili laendelea Jimbo la Korogwe mjini

    May 17, 2025
  • Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga akagua miradi ya maendeleo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

    May 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

    May 16, 2025
  • Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waapishwa.

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.