• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa Tanga aridhishwa na maandalizi ya uchaguzi Korogwe

Posted on: October 29th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Tanga aridhishwa na maandalizi ya uchaguzi Korogwe

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ameridhishwa na maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jimbo la Korogwe Mjini pamoja na Korogwe Vijijini. Mhe. Balozi Dkt Batilda Burian alitoa kauli hiyo wakati alipofanya ziara ya Siku Moja katika Jimbo la Korogwe Mjini pamoja Korogwe Vijijini kwa lengo la kukagua Vifaa vya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Ziara hiyo ya kutembelea Jimbo la Korogwe Mjini pamoja na Korogwe Vijijini ilifanyika Oktoba 29, Mwaka huu (2024).

 Katika ziara hiyo ya Ukaguzi wa Vifaa vya Uchaguzi katika Jimbo la Korogwe Mjini pamoja na Korogwe Vijijini, Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Burian aliambatana pamoja na Kamati ya ulinzi na Usalama kutoka Mkoa wa Tanga pamoja na Wilaya ya Korogwe

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yapongezwa kwa Kupata Hati safi na Ukusanyaji bora wa Mapato.

    June 13, 2025
  • Mh. Komba amewataka Watumishi wa Mji wa Korogwe kushirikiana na Mkurugenzi katika kuiletea Maendeleo Halmashauri

    June 11, 2025
  • Nyumba ya Mganga Mfawidhi katika Zahanati ya Lwengera kupunguza Changamoto ya Watumishi.

    June 09, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MJI WA KOROGWE.

    June 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.