• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Tehama na Uhusiano

                  

                       EDWARD P. BARIGIRA

                          MKUU WA KITENGO

                            +255 717 358 873

MAJUKUMU YA KITENGO

Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yaliyogawanyika katika sehemu kuu mbili

1. HABARI NA UHUSIANO

  1. Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Mifumo, Miundombinu na vifaa vya Habari na Mawasiliano katika Halmashauri Kutoa Matangazo yote ya Kazi na Miradi inayotekelezwa kwenye Halmashauri
  2. Kutoa Vijarida, Vipeperushi na Vitambulisho vya kazi kwa watumishi wa Halmashauri
  3. Kutangaza Vivutio vya utalii na Maeneo ya Uwekezaji ya Halmashauri kwenye Tovuti, Runinga, Magazeti na Redio Kupiga picha za Matukio mbalimbali yanayotokea katika Halmashauri na Kuyahidhi kwa ajili ya Kumbukumbu  za Halmashauri
  4. Kukusanya na Kuaandaa Habari za Halmashauri
  5. Kukusanya habari za Halmashauri zilizochapishwa kwenye Magazeti mbalimbali
  6. Kukusanya na kutunza habari za mtandaoni zinazoihusu Halmashauri kwa kutumia “Computer” Maalum.
  7. Kuboresha mahusiano kati ya Halmashauri, Waandishi wa Habari, Wananchi na Taasisi nyingine.

2: TEHAMA

  • Kusimamia Sera, Sheria, Taratibu na miongozo ya Kitengo inayotolewa na serikali juu ya uendeshaji wa Kitengo cha TEHAMA & Uhusiano
  • Kuandaa Mpango Mkakati kuhusu Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,
  • Kuandaa Miongozo na taratibu kwa kuzingatia kwa matumizi salama ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  • Kutengeneza mpango wa matengenezo(Preventive na maintenance plan) kwa kila mwaka
    wa fedha na kuutekeleza.
  • Kuishauri Mkurugenzi  juu ya ya masuala yanayohusiana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.
  • Kusimamia maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na utekelezaji wake kwa Halmashauri.
  • Kutoa na kuratibu msaada wa teknolojia ya habari kwa menejimenti ya Halmashauri.
  • Kusimamia na kuratibu kazi za taaluma ya TEHAMA zinazofanywa katika Vitengo na Idara nyingine.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye halmashauri.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya teknolojia ya habari na mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.
  • Kutoa ushauri bora na viwango kwa vifaa vya TEHAMA vinanyo nunuliwa, kufungwa na vinanyotumika kulingana na viwango vilivyowekwa na Serikali
  • Kuandaa na kuisimamia sera ya TEHAMA
  • Kusimamia Tovuti ya Halmashauri

ORODHA YA WATUMISHI WA KITENGO CHA TEHAMA

NA JINA CHEO NAMBA YA SIMU
1 EDWARD BARIGIRA AFISA TEHAMA MJI 0717358873
2 VENANCE NTANDU AFISA TEHAMA 0714020161
3 JULIUS SHIRIMA AFISA TEHAMA 0714739445
4 MAWAZO KUWE AFISA TEHAMA 0713560913

Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24

    February 09, 2023
  • TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

    February 03, 2023
  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.