• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI 2025 LAAPISHWA

Posted on: December 3rd, 2025

Baraza jipya la madiwani Halmashauri ya Mji Korogwe limeapishwa na kuanza rasmi majukumu yake 03/12/2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe. Katika baraza hilo Mkurugenzi Bi. Zahara Msangi  amewasilisha taarifa ya utekelezaji kwa kipindi Cha July - October 2025.

Baada ya uapisho kulifanyika uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, ambapo Mheshimiwa Ally Saddiq Mkwavingwa  alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri, huku Nassoro Mohamed Hassan akichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti.

Akizungumza baada ya kuchaguliwa, Mwenyekiti mpya Ally Saddiq Mkwavingwa aliwaomba Madiwani na wataalamu wa Halmashauri kushirikiana kwa karibu katika mipango ya maendeleo ili kufanikisha malengo waliyojiwekea. Aidha, aliipongeza Ofisi ya Mkurugenzi na timu ya wataalamu kwa kusimamia vyema miradi ya maendeleo pamoja na kuibua vyanzo vipya vya mapato vitakavyoongeza uwezo wa Halmashauri kifedha.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI

    December 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI 2025 LAAPISHWA

    December 03, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

    November 29, 2025
  • KAMATI YA UHAKIKI MIKOPO WILAYA YAFANYA ZIARA

    November 26, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.