• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Historia

Halmashauri ya Mji  wa Korogwe ni moja ya Halmashauri kumi na moja katika mkoa wa Tanga na iliundwa mwaka 2005 baada ya kukua kwa  Mamlaka  ya Mji iliyokuwepo tangu 1996-1997. Halmashauri ya Mji  wa Korogwe inapatikana  katika sehemu ya kati ya Mkoa na kuzungukwa na maeneo mengine ya Wilaya ya Korogwe (ikizungukwa na  Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe) ila kwa Wilaya ya Handeni upande wa kusini. Iko katika latitudo 50 na 5014’ S na katika longitudo 38023' na 30033' E.

Halmashauri ya Mji  wa Korogwe ni Mji wa pili kwa ukubwa  katika Mkoa wa Tanga baada ya  Jiji la Tanga. Halmashauri ya Mji  wa Korogwe ina  kata 11 na mitaa 24 ndani ya eneo lenye Kilomita za mraba  212,  ndilo eneo ndogo kuliko yote kati ya   Halmashauri 11 katika mkoa wa Tanga.

Pamoja na kuwa katikati ya Mkoa, Halmashauri ya Mji  wa Korogwe imeunganishwa na maeneo yote ya Mkoa wa Tanga, Mikoa ya kaskazini ya Kilimanjaro na Arusha na Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam kwa upande wa kusini. Jiji la Tanga lipo umbali wa  kilomita zipatazo 93 kutoka Mji wa Korogwe, Arusha kilomita  ni 344 na Dar es Salaam kilomita ni 305.  Halmashauri  Mji wa Korogwe pamoja na Halmashauri  inayoizunguka, zimekuwa kiungo muhimu kihistoria kwa wazawa na wageni kutoka nje kama vile Mashariki ya Kati na Wapelelezi wa kikoloni, wafanyabiashara, wamishenari na watawala wa kikoloni. Kwa sasa Mji wa Korogwe umekuwa kitovu cha biashara na huduma katika njia kuu za reli na barabara kutoka Dar es Salaam, Tanga na Arusha. 

Mji wa Korogwe pia hutumika kama makao makuu ya utawala wa Halmashauri  zote mbili. Uchumi, shughuli za kijamii, miundombinu na utawala katika  Halmashauri zote mbili vinategemeana na ni jumuishi.

HALMASHAURI YA MJI WA KOROGWE 

MPANGILIO WA KIKANDA

Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24

    February 09, 2023
  • TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

    February 03, 2023
  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.