• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Viwanda

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE .

1.1 UTANGULIZI.

Halmashauri ya Mji wa Korogwe ipo katikati ya Mkoa wa Tanga kaskazini mashariki mwa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe. Mji wa wa Korogwe ni wa pili kwa ukubwa katika Mkoa wa Tanga ikifuatiwa na jiji la Tanga. Halmashauri ya Mji wa Korogwe ina Kata 11, Mitaa 22 na vijiji 7 ikiwa na eneo la mita za mraba 212. Mji wa Korogwe una wakazi wapatao 68,308 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012. Milima ya usambara inayozunguka Mji wa Korogwe na mito inayotiririsha maji pamoja na mto pangani unawezesha Mji wa Korogwe kuwa mahali pazuri kwa ajili ya kuishi , kuwepo kwa shughuli za viwanda,kilimo  , utalii na huduma za jamii .

1.2 HALI YA HEWA.

Halmashauri ya Mji wa Korogwe ina hali nzuri ya hewa ikiwemo  misimu miwili ya mvua     Masika  ina kipindi kirefu  kuanzia mwezi Februari  hadi mwezi Mei  na kipindi kifupi  cha vuli kinachoanzia mwezi Septemba hadi Novemba. Wastani wa mvua kwa mwaka ni mililita  950 (900-1000), Mwezi Novemba hadi machi ni kipindi cha joto kali kiasi cha nyuzi joto(30 – 32 ) kwa nyakati za mchana kipindi cha baridi kinaanza mwezi  Mei hadi Oktoba  kikiwa na kiasi cha nyuzi joto (23 – 25). Upande wa kaskazini wa Mji kuna ukanda wa juu wa milima wa  wastani wa mita 1200 kutoka usawa wa bahari ikizungukwa na misitu ya asili inayovutia shughuli za utalii kufanyika hapa.

2.0 FURSA ZILIZOPO.

Fursa zilizopo ni za uwekezaji katika maeneo yafuatayo :-

NA

SEKTA

ENEO LA UWEKEZAJI(MAHALI NA UKUBWA)

HALI/HATUA ILIYIFIKIWA

MAONI/MAELEZO

1.
USAFIRISHAJI
Bandari  kavu kwa usafirishaji ,uhifadhi wa mizigo ,uhudumiaji wa makontena ,matenki ya mafuta n,k
Halmashauri ya Mji Korogwe imetenga viwanja vitatu kwa ajili ya Bandari Kavu. eneo hilo liko katika Kata ya Old Korogwe Mashariki ya Korogwe. Eneo la kwanza lina ukubwa wa Hekta 3.6 lipo kwenye nyuzi 38° 29’ E na 5º 09’ S. Eneo la pili lina ukubwa wa Hekta 14.8 lipo kwenye nyuzi 38° 29’ 30’’ E na 5º 09’ S. Na eneo la tatu lina ukubwa wa Hekta 17.93 lipo kwenye nyuzi 38° 29’ 45’’ E na  5º 09’ S. Umbali kutoka kwenye kila eneo hadi  kwenye njia ya reli ni mita 25. Umbali kutoka bandari ya Tanga ni kilometa 94, na kuelekea Dar es salaam ni kilometa 350. Kwa upande wa magharibi kuna mtandao wa barabara unaounganisha Mnyuzi na wilaya ya Muheza. Pia eneo linapitiwa na reli ya Tanga, Dar es salaam Arusha.
Eneo limetengwa,  taratibu za ulipaji fidia na upatikaji wa hati zinaendelea
Huduma za kuwezesha uwekezaji kama umeme, maji na mawasiliano zipo karibu na eneo hili.
2
VIWANDA:
1.Usindikaji wa Mazao ya kilimo na mifugo
Eneo la mita za mraba 9000  limetegwa kwa ajili ya viwanda  vidogo na vya kati katika kata ya Old Korogwe(Industrial park)
Eneo limetengwa,  taratibu za ulipaji fidia na upatikaji wa hati zinaendelea
Malighafi zinapatikana kiurahisi ndani na nje ya Mji wa Korogwe kama
- matunda ya aina mbalimbali.
-Mazao ya misitu.
Mazao ya kilimo (Mkonge,Mpunga na Mahidi n.k
-Mazao ya mifugo kama Nyama,Ngozi,Mifupa .
2. EPZ na Uwekezaji wa viwanda mbalimbali .
 
  Eneo la hekta 2000 limeainishwa na kutengwa katika kata ya Mgombezi kwa ajili ya EPZ (Export processing zone) na  uwekezaji wa viwanda mbalimbali.
Utaratibu wa kubadilisha matumizi na kulipima eneo hili  unaendelea ili liwe na hati ya umiliki
Eneo hili lipo karibu na mnada wa mifugo ,linafikika kiurahisi na huduma muhimu zipo karibu.
3
UTALII:
Hoteli,Maeneo ya burudani na maeneo ya biashara
 Maeneo yenye ukubwa wa Hekta 10 na Hekta 2.6 kwenye eneo lenye nyuzi 38o 27’ 45” E na 5o 09’ S yametengwa katika kata ya Old Korogwe kwa ajili ya mahoteli na biashara.
Eneo limetengwa,  taratibu za ulipaji fidia na upatikaji wa hati zinaendelea
Kuna uhitaji Mkubwa wa huduma hii kwani semina na mikutano mbalimbali inafanyika katika Mji wetu.
4
ELIMU:
Chuo kikuu /Chuo cha ufundi
Eneo la uwekezaji kwa taasisi za elimu lipo kata ya Old Korogwe  Lina ukubwa wa Hekta 42 na liko kwenye nyuzi 38° 29’ E and 5º 09’ S.
Eneo limetengwa,  taratibu za ulipaji fidia na upatikaji wa hati zinaendelea
Mahitaji makubwa katika ngazi zote za  elimu.
Eneo lipo katika mazingira mazuri ya utoaji   Elimu.
5.
MICHEZO:
Kiwanja cha michezo  cha kimataifa na shule ya michezo
Eneo lenye ukubwa wa Hekta 13 limetengwa katika Kata ya Old Korogwe Kwazomolo
 Eneo limetengwa taratibu za upimaji zinaendelea ili liwe na Hati ya umiliki.
Mji wa Korogwe una uhitaji Mkubwa wa viwanja vya kisasa vya michezo na chuo cha michezo ili kukuza vipaji vya vijana .
6
UJENZI :
Ujenzi wa nyumba za makazi na biashara
Halmashauri ya Mji imepima na inampango wa kupma viwanja   katika kata ya Bagamoyo , maeneo ambayo yanafaa  katika ujenzi wa nyumba za kuishi, biashara na upangishaji .
Maeneo yaliyopimwa  yanatolewa  hati ya umiliki
Maeneoyanayopimwa yanakuwa karibu na huduma muhimu na barabara zinachongwa.
 











Halmashauri ya Mji Korogwe inawakaribisha  muweze kuwekeza katika fursa zilizopo katika Mji wetu  .

Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24

    February 09, 2023
  • TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

    February 03, 2023
  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.