• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii

1.0 UTANGULIZI:

Idara ya Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana ni kati ya idara za  Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Idara ina vitengo vya Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana,ambapo majukumu yake ni kuratibu na kusimamia upatikanaji wa huduma za jamii na utekelezaji wa mipango ya maendeleo katika ngazi ya jamii. Katika utekelezaji wake Idara inaratibu mipango ya maendeleo ikiwa ni pamoja na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF - Tanzania Social Action Fund), Mfuko wa Afya ya Jamii iliyoboreshwa (CHF– Re-organized Community Health Fund), Mpango wa Kudhibiti UKIMWI, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF), Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF) na Kuratibu asasi zisizokuwa za ki serikali (NGOs & CBOs) na vikundi vya kiuchumi.

2.0 Muundo na Rasilimali watu.

Idara ya Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana katika Halmashauri ya Mji Korogwe ina vitengo vitatu, ambavyo ni kitengo cha  Maendeleo ya Jamii, kitengo cha Ustawi wa Jamii na Kitengo cha Vijana.Watumishi wa idara hii ni Maafisa Maendeleo ya Jamii, Maafisa Ustawi wa jamii, na Afisa Vijana.

3.0 Majukumu yanayotekelezwa na idara

Idara kwa kutumia rasilimali mbalimbali zilizopo utekeleza majukumu yake kwa mgawanyo unaozingatia taaluma na miundo ya serikali.

3.1 Kitengo cha Maendeleo ya Jamii

  • Lengo kuu la Kitengo;
  • Kusaidia jamii kutafsiri fursa na vikwazo vilivyopo katika mazingira yao na kutumia rasilimali zilizopo kujiletea maendeleo.
  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri.
  • Kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera za  Maendeleo ya Jamii katika ngazi za vijiji na kata.
  • Kuratibu na kusimamia asasi za kiraia zinazotekeleza shughuli za Maendeleo katika Mji wa Korogwe.
  • Kuratibu na kusimamia Asasi za kiraia katika wilaya ( NGOs, CBOs na vikundi vya kiuchumi)
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa Wanawake (WDF)
  • Kuratibu na Kusimamia miradi ya Mfuko wa  Vijana (YDF).
  • Kusimamia na kuratibu miradi/mipango iliyoko chini ya Idara ya Maendeleo ya Jamii (TASAF,CHF,KUDHIBITI UKIMWI,,n.k )
  • Kutoa mapendekeo ya kukabiliana na vikwazo vya maendeleo ya makundi maalum wakiwemo wanawake, watoto, wazee na walemavu.
  • Kuandikisha na kutunza rejista za vikundi vya maendeleo ya makundi maalumu wakiwemo vijana, wanawake na walemavu.
  • Kuhamasisha na kutoa Mapendekezo juu ya ushirikishaji jamii katika kubuni na kupanga miradi ya maendeleo  kwa kutumia teknolojia rahisi na sahihi.
  • Kufuatilia na kuuhisha rejista za wakazi katika ngazi za vijiji na vitongoji.
  • Kusimamia, kutafsiri na kutoa elimu juu ya sheria za Ustawi wa Jamii (Watoto,Wazee, Ndoa) .

3.2 Kitengo cha Ustawi wa Jamii

  • Lengo kuu la Kitengo;
  • Kusaidia watu kutambua haki na wajibu wao katika kutoa huduma za kijamii na hasa makundi maalumu wakiwemno watoto, wazee na walemavu.
  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya.
  1. Kufuatilia na Kusimamia upatikanaji wa haki za  wazee wenye mahitaji maalumu
  2. Kutetea haki za watoto na wanafamilia wanaoonewa katika ngazi ya kaya na vyombo vya sheria.
  3. Kuwezesha na kusimamia vituo vya kulelea watoto yatima
  4. Kutekeleza mipango kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi
  5. Kusimamia na kutafsiri sheria ya mtoto katika ngazi ya Kata na vijiji

3.3 Kitengo cha Vijana

Lengo kuu la Kitengo;

Kusaidia vijana kupata mbinu za kujiinua kiuchumi na kutambua fursa na vikwazo  vilivyo katika mazingira yao na kujiletea maendeleo. 

  • Ili kufikia lengo kuu, kitengo kimekuwa na majukumu yanayotekelezwa katika ngazi mbalimbali ndani ya Halmashauri.
  • Kuhimiza maendeleo ya Elimu na Ujuzi kwa Vijana
  • Kutokomezaji wa umaskini na mfungamano wa vijana kiuchumi na kijamii
  • Kuwezesha maisha endelevu na ajira kwa vijana
  • Kuwezesha maendeleo endelevu na hifadhi ya mazingira
  • Kuhamasishaji wa maadili na desturi njema za kiafrika kwa vijana
  • Kuratibu mabaraza ya vijana katika ngazi ya kata na wilaya

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

    May 16, 2025
  • Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waapishwa.

    May 15, 2025
  • Viongozi wa vyama vya siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili

    May 08, 2025
  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.