Idara ya Afya ni mojawapo ya Idara zinazotoa huduma ya Afya kwa jamii katika Halmashauri ya Mji Korogwe.
Halmashauri inasimamia vituo vya kutolea Huduma za Afya 26 ambavyo 14 ni vya serikali, 2 ni vya mashirika ya dini ,mashirika ya umma 3na 7 vya watu binafsi
MAJUKUMU YA IDARA:
Kutoa Huduma mbalimbali za Tiba
Chanjo kwa watoto umri chini ya miaka mitano na akina mama wenye umri wa miaka 15 hadi 45
Huduma za Upimaji wa Virusi vya Ukimwi, ushauri Nasaha na utoaji wa dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi
Huduma za Afya ya Mama na Mtoto
Kushughulika na Huduma za Kinga
Kutoa elimu ya afya na Ushauri nasaha katika tiba
Kufanya utafiti wa magonjwa na tafiti zingine katika eneo la afya.
Kuhamasiha kaya,Taasisi za serikali na zisizo za serikali pamoja na shule za sekondari kujiunga na mfuko wa afya ya jamii
JINSI HUDUMA ZINAVYOPATIKANA
Huduma hutolewa kwa wananchi wote wa Halmashauri ya Mji kwa mgawanyiko wa makundi matano (5) kama ifuatavyo;-
Watoto chini ya Umri wa Miaka mitano na Akina mama wajawazito ambao matibabu yao ni bure
Wateja wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF)
Wateja wa mfuko wa Afya ya Jamii (TIKA)
Wateja wa Msamaha na Wazee
Wateja wa Papo kwa Papo ambao hawapo kwenye mfuko wowote
ORODHA YA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA YA AFYA MJI WA KOROGWE
| NA
|
JINA LA KITUO CHA KUTOLEA HUDUMA
|
KATA
|
MMILIKI
|
| 1
|
KITUO CHA AFYA CHA St. RAPHAEL
|
OLD KOROGWE
|
TAASISI YA DINI
|
| 2
|
KTUO CHA AFYA CHA St. JOSEPH
|
KWAMNDOLWA
|
TAASISI YA DINI
|
| 3
|
ZAHANATI YA MAJENGO
|
MAJENGO
|
SERIKALI
|
| 4
|
ZAHANATI YA KILOLE
|
BAGAMOYO
|
SERIKALI
|
| 5
|
ZAHANATI YA MTONGA
|
MTONGA
|
SERIKALI
|
| 6
|
ZAHANATI YA MSAMBIAZI
|
MSAMBIAZI
|
SERIKALI
|
| 7
|
KITUO CHA AFYA CHA MGOMBEZI
|
MGOMBEZI
|
SERIKALI
|
| 8
|
ZAHANATI YA KWAMNDOLWA
|
KWAMNDOLWA
|
SERIKALI
|
| 9
|
KITUO CHA AFYA CHA KWAMSISI
|
KWAMSISI
|
SERIKALI
|
| 10
|
ZAHANATI YA MANUNDU
|
MANUNDU
|
BINAFSI
|
| 11
|
ZAHANATI YA KSUSHO
|
MAJENGO
|
BINAFSI
|
| 12
|
ZAHANATI YA CURE & CARE
|
MANUNDU
|
BINAFSI
|
| 13
|
ZAHANATI YA KWAMDULU ESTATE
|
KWAMSISI
|
BINAFSI
|
| 14
|
ZAHANATI YA MAGEREZA MANUNGU
|
MAJENGO
|
|
| 15
|
ZAHANATI YA MAGEREZA KWAMNGUMI
|
KILOLE
|
|
| 16
|
HOSPITALI YA MJI KOROGWE
|
MAGUNGA
|
|
| 17
|
ZAHANATI YA KITIFU
|
MGOMBEZI
|
|
| 18
|
ZAHANATI YA KWAKOMBO
|
KWAMSISI
|
|
| 19
|
ZAHANATI YA LWENGERA DARAJANI
|
OLD KOROGWE
|
|
| 20
|
ZAHANATI YA MAHENGE
|
KWANDOLWA
|
|
| 21
|
KITUO CHA AFYA HISANI
|
MSAMBIAZI
|
|
| 22
|
KLINIKI YA TTC
|
MANUNGU
|
|
| 23
|
KLINIKI YA KOROGWE GIRLS
|
OLD KOROGWE
|
|
| 24
|
KLINIKI YA AFYA YA AKILI BAGAMOYO
|
BAGAMOYO
|
|
| 25
|
KLINIKI YA LUTINDI
|
MANUNGU
|
|
| 26
|
KLINIKI YA MSHANGAI
|
MANUNGU
|
|
Korogwe Tanga Tanzania
S.L.P: 615 Korogwe
Simu: 0272650050
Simu ya Kiganjani:
Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz
Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.