• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Vivutio vya Kitalii


Halmashauri ya mji wa Korogwe ina vivutio vingi vya utalii ambapo uekezaji ukifanyika utaleta tija kubwa kiuchumi.Fursa hizi ni nadra sana kupatikana sehemu nyingine kutokana na uhalisia wake.Vifuatavyo ni orodha ya vivutio vilivyopo ikianisha jina la kivutio,mahali kilipo,sifa zake pamoja na jinsi ya kukifika kwa maana ya njia.

NA.
JINA LA KIVUTIO
MAHALI KILIPO
SIFA ZAKE
HALI YA BARABARA
1.
KISIWA CHA MAKAZI YA MAMBA
Mtaa wa Old Korogwe katika Kata ya Old Korogwe
 Eneo limezungukwa na Maji ya Mto Pangani, lina ukubwa wa Hekta 3.5, ni mapunziko ya wanyama waishio ndani ya Maji wakiwemo mamba.
Ukiwa ndani ya kisiwa utapata upepo mzuri.
Ni kivutio cha Kiikolojia.
Hufikika kwa kutumia Mitubwi ya wenyeji wa maeneo ya Old Korogwe.
2.
KIVUKO CHA CHIFU MBEGA WA USAMBARA
Mtaa wa Msambiazi katika Kitongoji cha Gudisheni Kata ya Mtonga.
Eneo la Mto Pangani ambapo Chifu Mbega wa Usambara alitumia kuvuka mto wakati akiwakimbia Maadui zake, ni sehemu nyembamba ya eneo pana la Mto.
Ni kivutio cha kihistoria.
Eneo hili hufikika katika kipindi chote cha majira kwani kipo pembezoni mwa barabara kuu ya kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.
3.
KILELE CHA MLIMA FUNDI
Mitaa ya Masuguru, Makwei, Old Korogwe na mlima Fundi katika Kata za Manundu, Masuguru, Magunga na Old Korogwe.
Uwapo kwenye kilele cha mlima huu utaweza kuona eneo lote la kati ya Mji wa Korogwe. Utaweza kuona pango la asili ambalo lina maji ya siyo kauka,  kuna hali ya baridi. Wanyama wadogo wa asili wanaishi,
Ni kivutio cha kipekee.
Hakuna barabara, ya kupanda mlimani, kunafikika
  kwa njia za miguu.
4.
MITAMBO YA MKONGE NGOMBEZI SISAL ESTATE
Mtaa wa Matondoro katika Kata ya Ngombezi
Ni mitambo inayozalisha umeme ya enzi za ukoloni, eneo ambalo umeme unazalishwa kwa kutumia mabaki ya mkonge.
Ni kivutio cha kipekee.
 kunafikika kipindi chote cha Majira ya mwaka kwa njia ya barabara na reli.
5.
MNARA WA  MSUMBIJI KILOLE
Mtaa wa Kilole Manzese katika Kata ya Bagamoyo
Ni eneo  lenye mnara wa nchi ya Msumbiji ambapo palikuwa na ofisi ya Chama cha Frelimo cha wakazi wa Msumbiji waishio Tanzania, Palikuwa ni kituo cha kupiga kura wakati wa uchaguzi wa kwanza wa Rais wa Msumbiji.
Barabara ni ya Lami pembezoni mwa Barabara kuu ya Dar es Salaam kuelekea Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.