• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi Iliyokamilika

MRADI WA KITUO CHA MABASI CHA KISASA KOROGWE

Korogwe ni kitovu muhimu cha biashara na huduma zakijamii kwa wasafiri wa ndani ya Korogwe na wasafiri wa kati ya Mikoa ya Arusha, Tanga, Kilimanjaro Dar Es Salaam, Mbeya, Iringa,Morogoro, Nairobi, na Kampala kutumia barabara kuu ya Dar Es Salaam Arusha na Tanga Arusha.

Kituo cha kisasa cha mabasi kimejengwa Korogwe Mjini karibu na mzunguko wa makutano ya barabara ya Dar Es Salaam Arusha na Barabara iendayo Wilaya ya Handeni kikiwa na uwezo wa kuhudumia mabasi makubwa 45 na madogo 33 kwa wakati mmoja na jumla ya mabasi 15 yafanyayo safari za ndani na nje ya nchi kwa wakati mmoja.

Kituo kimezungukwa na maduka 121 yanayotoa huduma mbalimbali za kijamiii kwa wasafiri na wananchi wa Mji wa Korogwe na sehemu ya kuegesha magari ya wanunuzi iliyo na vituo 15

Mradi wa kituo kikuu cha mabasi umekamilika tangu mwaka jana 2017 na kuzinduliwa na Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Jonh Joseph Pombe Magufuli.Hata hivyo mradi huu umekua mojawapo ya vitega uchumi vikubwa vya halmashauri kwani kila mwezi wastani wa fedha za kitanzania milioni thelathini hukusanywa.Fedha hizi hutumika kutekeleza huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuchangia ujenzi wa barabara,miundo mbinu ya maji,elimu pamoja na afya.Pia hutumika kuwawezesha kina mama na vijana kupitia vikundi vya ujasiriamali.Kwa ujumla mradi huu uligharimu jumla ya fedha za kitanzania bilioni nne ambazo zilifadhiliwa na Benki ya Dunia.


Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wakamilisha mradi wa ujenzi wa madarasa

    January 09, 2023
  • Mji wa Korogwe waungana na Mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani

    December 01, 2022
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.