• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIJANA MTAA KWA MTAA

Posted on: January 7th, 2026

Kampeni ya Vijana Mtaa kwa Mtaa ni kampeni iliyoandaliwa na kuratibiwa na Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na Afisa wa Vijana Halmashauri ya Mji wa Korogwe ikiwa na lengo la kuelekeza,kukwamua vijana kiuchumi na kijamii. Kampeni hiyo ina lengo la kuibua changamoto za vijana, kuwapa elimu vijana na kuwaelekeza mbinu mbalimbali za kuinua uchumi pamoja na namna ya kuanzisha, kusajili vikundi na kupata mikopo na fursa mbalimbali zinatolewa na Halmashauri ya Mji Korogwe.

Kampeni ya Vijana Mtaa kwa Mtaa ilianza Disemba 13, 2025 na kumalizika katika Mtaa wa Kitifu Januari 7, 2026 ikiwa na kauli mbiu “Vijana na Maendeleo”. Katika kampeni hiyo vijana wamepata mafunzo mbalimbali yakiwemo:-

>Kufahamu namna ya kuanzisha,kusajili kikundi kwajili ya kupata mkopo wa vijana 10% inayotolewa na Halmashauri.

>Ujuzi wa ujasiriamali,kilimo na kuboresha biashara zao kidigitali.

>Fursa za mikopo inayotolewa na Halmashauri pamoja na Taasisi za Kifedha ziliopo Korogwe Mji.

>Mpango mkakati uliowekwa na Halmashauri ya Mji kwa ajili ya kuinua vijana kiuchumi.

>Elimu juu ya namna ya kupata vitambulisho wa ujasiriamali na umuhimu wake.

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Happy Luteganya amewataka vijana kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa na Halmashauri ya Mji ili kujikwamua kiuchumi.

Naye Afisa Vijana Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Rajabu Dimosso amewataka vijana kutumia fursa walizowezeshwa ili kuleta tija katika kujikwamua kiuchumi na kijamii. Aidha amewasisitiza vijana kuwa chachu ya kuibua vitendo vya uvinjufu wa amani katika Mitaa yao na kuwa mbele katika kutaka maendeleo na kutumia vema mitandao ya kijamii.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • VIJANA MTAA KWA MTAA

    January 07, 2026
  • VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA MAGUNGA

    January 08, 2026
  • KIKAO CHA BODI YA AFYA

    January 16, 2026
  • FARAJA YA MWAKA 2025 – HALMASHAURI YA MJI WA KOROGWE

    January 08, 2026
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto