• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA MAGUNGA

Posted on: January 8th, 2026

Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe -Magunga imeanza kupokea vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya Sh. milioni 100 kupitia Mfuko wa Mama, ulioanzishwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kuimarisha huduma za afya na kupunguza idadi ya wagonjwa wanaopewa rufaa.

Akizungumza Januari 8, 2026 katika ziara ya Mbunge wa Korogwe Mjini Charles Njama, Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Paul Anyabwile, amesema miongoni mwa vifaa vilivyopokelewa ni mashine ya dawa ya usingizi (Anesthesia Machine), ambayo itakapokamilika kufungwa na kuanza kutumika itaongeza uwezo wa hospitali kutoa huduma za upasuaji kwa ufanisi zaidi.

Anyabwile amesema Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuipa kipaumbele sekta ya afya, hali iliyoifanya Hospitali ya Magunga kunufaika na vifaa hivyo muhimu, huku akibainisha kuwa vifaa vingine vinaendelea kuwasili hospitalini hapo.

Aidha, amemshukuru Mbunge Njama, kwa kutembelea hospitali hiyo na kuahidi kuwa wataendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, wakimuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika dhamira ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya.

Naye Mbunge Njama ambaye  aliambatana na Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ameipongeza timu ya wataalamu wa hospitali hiyo kwa kujituma kwao katika kutoa huduma kwa wananchi.

Pia, amepongeza ubunifu wa hospitali hiyo wa kujenga njia za watembea kwa miguu zitakazorahisisha kupeleka  wagonjwa chumba cha upasuaji na wodini huku akichangia Sh.milioni moja kwa ajili ya kuendeleza ujenzi huo.

Hata hivyo, ametoa wito kwa wadau wengine kuchangia ujenzi wa njia hizo ili kuboredha zaidi  mazingira ya utoaji huduma.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • VIJANA MTAA KWA MTAA

    January 07, 2026
  • VIFAA TIBA KUIMARISHA HUDUMA MAGUNGA

    January 08, 2026
  • KIKAO CHA BODI YA AFYA

    January 16, 2026
  • FARAJA YA MWAKA 2025 – HALMASHAURI YA MJI WA KOROGWE

    January 08, 2026
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto