• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi Inayoendelea

Upanuzi wa kituo cha afya cha majengo

Halmashauri ya mji wa Korogwe imepata neema ya upanuzi wa kituo chake cha afya kupitia Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo inajumuisha ujenzi wa jengo la mama na mtoto, jengo la upasuaji, nyumba moja ya mtumishi, maabara pamoja na jengo la mionzi.

Ujenzi umeanza mwezi wa sita 2018  na unatarajiwa kumalizika mnamo mwezi wa kumi na moja 2018.Mradi umeshakamilika kwa kiasi cha 50% hadi sasa.Unatekelezwa na Serekali chini ya Ofisi ya Raisi TAMISEM na utagharimu jumla ya milioni 500 ambazo tayari zimeshatengwa.Hata hivyo upanuzi wa kituo hiki utawezesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi wote wa Halmashauri ya mji wa Korogwe na Halmashauri majirani.


Ujenzi wa Miundombinu ya maji ya Msambiazi, Lwengera relini na Lwengera darajani

MSAMBIAZI

Mradi huu umeanza tangumwezi wa tisa 2017 na unatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi wa sita mwaka huu.Umeshakamilika kwa kiwango cha 75% kwani ujenzi wa tanki kubwa pamoja na vilula tayari;ulazaji wa mabomba unaendelea kwa sasa. Wafadhili wa mradi ni WSDP yaani benk ya Dunia na utagharimu fedha za kitanzania zipatazo 761,475,594.Mradi kwa sasa upo hatua za ukamilikaji.Utakapokamilika unatarajiwa kufanikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mji wa korogwe. Chanzo kikuu cha maji ni kutoka mto Pangani.

LWENGERA

Mradi huu umeanza tangumwezi wa kumi na mbili 2017 na unatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi wa sita mwaka huu.Umeshakamilika kwa kiwango cha 15% kwani ujenzi wa awali unaendelea kwa sasa. Wafadhili wa mradi ni WSDP yaani benk ya Dunia na utagharimu fedha za kitanzania zipatazo 76,475594.Utakapokamilika unatarajiwa kufanikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa Lwengera relini na Lwengera darajani pamoja na maeneo ya old Korogwe.Chanzo kikuu cha maji ni kutoka mto Pangani.

Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24

    February 09, 2023
  • TARURA yatenga Shilingi Bilioni 1.8 ujenzi wa barabara Mji wa Korogwe

    February 03, 2023
  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.