• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi Inayoendelea

Upanuzi wa kituo cha afya cha majengo

Halmashauri ya mji wa Korogwe imepata neema ya upanuzi wa kituo chake cha afya kupitia Serekali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo inajumuisha ujenzi wa jengo la mama na mtoto, jengo la upasuaji, nyumba moja ya mtumishi, maabara pamoja na jengo la mionzi.

Ujenzi umeanza mwezi wa sita 2018  na unatarajiwa kumalizika mnamo mwezi wa kumi na moja 2018.Mradi umeshakamilika kwa kiasi cha 50% hadi sasa.Unatekelezwa na Serekali chini ya Ofisi ya Raisi TAMISEM na utagharimu jumla ya milioni 500 ambazo tayari zimeshatengwa.Hata hivyo upanuzi wa kituo hiki utawezesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi wote wa Halmashauri ya mji wa Korogwe na Halmashauri majirani.


Ujenzi wa Miundombinu ya maji ya Msambiazi, Lwengera relini na Lwengera darajani

MSAMBIAZI

Mradi huu umeanza tangumwezi wa tisa 2017 na unatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi wa sita mwaka huu.Umeshakamilika kwa kiwango cha 75% kwani ujenzi wa tanki kubwa pamoja na vilula tayari;ulazaji wa mabomba unaendelea kwa sasa. Wafadhili wa mradi ni WSDP yaani benk ya Dunia na utagharimu fedha za kitanzania zipatazo 761,475,594.Mradi kwa sasa upo hatua za ukamilikaji.Utakapokamilika unatarajiwa kufanikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa mji wa korogwe. Chanzo kikuu cha maji ni kutoka mto Pangani.

LWENGERA

Mradi huu umeanza tangumwezi wa kumi na mbili 2017 na unatarajiwa kukamilika kabla ya mwezi wa sita mwaka huu.Umeshakamilika kwa kiwango cha 15% kwani ujenzi wa awali unaendelea kwa sasa. Wafadhili wa mradi ni WSDP yaani benk ya Dunia na utagharimu fedha za kitanzania zipatazo 76,475594.Utakapokamilika unatarajiwa kufanikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa Lwengera relini na Lwengera darajani pamoja na maeneo ya old Korogwe.Chanzo kikuu cha maji ni kutoka mto Pangani.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

    May 16, 2025
  • Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waapishwa.

    May 15, 2025
  • Viongozi wa vyama vya siasa watakiwa kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa awamu ya pili

    May 08, 2025
  • Mratibu wa Mikopo ya 10% Halmashauri ya Mji wa Korogwe afunga Mafunzo.

    May 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.