• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMPENI YA KOROGWE KIJANA NA MTAA YAKAMILIKA KWA MAFUNZO

Posted on: January 30th, 2026

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe Bw. Burhani Ngulungwa amewataka vijana katika Halmashauri ya Mji Korogwe kuchangamkia fursa za vijana zinzotolewa na Halmashauri, Serikali kuu pamoja na Wadau wa Maendeleo.

Kaimu Mkurugenzi huyo aliyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya siku Moja kwa viongozi wa vijana katika mitaa 29 ya Halmashauri ya Mji Korogwe Januari 30, 2026. Mafunzo hayo yenye lengo la kuwajengea uwezo viongozi hao yalifanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe na kuhudhuriwa viongozi wa vijana kutoka katika 29 iliyopo katika Mji wa Korogwe,  Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Maafisa Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata na Wadau wa Maendeleo.

Aidha Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Mji Korogwe Bi Happy Luteganya amewaasa Viongozi hao kuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzao kwani wamewaamini na kuwachagu kuwa wawakilishi wao.Pia  amewataka kufanya kazi kwa kushirikiana na Viongozi wa Serikali katika ngazi za Mitaa na Kata ili kuwa na taarifa sahihi zinazohusu Maendeleo ya Vijana kutoka Serikalini.

Naye Afisa Vijana wa Halmashauri Ndg Rajab Dimosso amewataka Vijana hao kutumia vizuri mitandao ya kijamii ili kuwaletea tija katika ustawi wa shughuli zao za kijamii, kiuchumi na kutokukubali kutumika katika uvunjivu wa Amani na Utulivu wa Nchi yetu.

Kampeni ya ziara ya kuzungumza na Vijana katika Mitaa ni utekelezaji wa maagizo ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mheshimiwa Joel Arthur Nanauka kwa mamlaka za Halmashauri kuhakikisha vijana wanasikilizwa na kutatuliwa changamoto zao kwa wakati, ili kuendana na kasi ya Wizara yake katika kutafsiri maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuleta Maendeleo ya Vijana ambao wanakadiriwa kufikia asilimia 34 ya Watanzania wote.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • UWEPO WA FEDHA TSH. 100,000.000/= KUVIKOPESHA VIKUNDI. January 21, 2026
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMPENI YA KOROGWE KIJANA NA MTAA YAKAMILIKA KWA MAFUNZO

    January 30, 2026
  • TANGAZO MUHIMU

    January 21, 2026
  • MADIWANI 104 WAPATIWA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA

    January 29, 2026
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA MHE. RAIS

    January 27, 2026
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.