• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha ya Juma la Elimu ya Watu Wazima.

Posted on: September 8th, 2025

Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mary Stephen Mmary kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope amewataka Maafisa Elimu kata, Wakuu wa Shule, Walimu wakuu Pamoja na wadau wa Elimu kuendeleza Elimu ya Watu wazima kwani Elimu hii inasaidia kupata   matokeo ya moja kwa moja ya uzalishaji yanatokea hapo kwa hapo tofauti na Watoto ambao wako katika m fumo rasmi. Bi. Mary Mmary ameyasema hayo kwenye Maadhimisho ya Siku ya Juma la Elimu ya Watu wazima kwa ngazi ya Halmashauri iliyofanyika Katika ukumbi wa Shule ya Msingi New Korogwe Sptemba 8 (mwaka huu) 2025.

 Naye Afisa Elimu Watu wazima na Elimu nje ya Mfumo rasmi Msingi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Aseri Stephano Mshana alisema” Kujifunza kwa watu wazima umejikita katika ukweli kwamba watu wazima ndio wazalishaji wa moja kwa moja hivyo wakipewa Elimu yenye ubora matokeo yake  ni makubwa na uzalishaji wake unatokea hapo kwa hapo tofauti na Watoto ambao ni Taifa la kesho”.Bw. Mshana aliendelea kufafanua kuwa hapa Tanzania Elimu ya Watu wazima ilianza rasmi mwaka 1975 ambapo baada ya uhuru ilionekana Watu wenye Elimu ni wachache kuweza kuendeleza Sera ya Azimio la Arusha ya ujamaa na kujitegemea.Katika utekelezaji wa  Elimu ya watu wazima, program mbalimbali ziliundwa ikiwemo SEQUIP,MUKEJA na OPEN SCHOOL kwa ajili ya kusaidia elimu ya watu wazima. Kitaifa Juma la Elimu ya Watu wazima itaadhimishwa Mkoani Katavi kuanzia Septemba 15 hadi Septemba 20, 2025. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo yanasema”Kukuza kisomo katika zama za kidigitali kwa  maendeleo endelevu ya Taifa letu”.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akabidhi Kompyuta Mpakato kwa Idara ya Kilimo.

    September 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akabidhi Kompyuta Mpakato kwa Idara ya Kilimo.

    September 10, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha ya Juma la Elimu ya Watu Wazima.

    September 08, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha ya Juma la Elimu ya Watu Wazima.

    September 08, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.