• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Madiwani laidhinisha mapato na matumizi ya robo ya tatu (January-Mach)

Posted on: April 27th, 2018

Kufuatia kikao cha Waheshimiwa madiwani kilichofanyika leo tarehe 27/04/2018 katika ukumbi wa halmashauri, taarifa ya mapato na matumizi imeonesha kwamba; mapato yote kwa jumla yalikua TSH 3,985,862,280.98 na matumizi kiasi cha TSH 4,389,954,130.03 kwa kipindi chote cha kuanzia mwezi wa kwanza hadi wa tatu mwaka huu.

Hata hivyo mapato hayo yanajumuisha ruzuku mbalimbali zenye jumla ya TSH 3,698,854,431 kutoka serekali kuu na wadau wa maendeleo pamoja na makusanyo ya vyanzo vya ndani yanayofikia jumla ya 237,007,849.76.Pia matumizi hayo ni pamoja na kiasi cha TSH 1,187,926,592.44 zilizotumika kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo na kiasi cha TSH 2,797,935,689 zilitumika katika kuendesha ofisi pamoja na kulipa mishahara ya watumishi na pasho za Waheshimiwa madiwani.

Baraza hilo pia limepitia na kujadili taarifa mbalimbali za utekelezaji kazi wa kamati zote za kudumu na kutoa maelekezo stahiki yenye kulenga kuboresha huduma za jamii ya Wanakorogwe mji na Taifa kwa ujumla.Baadhi ya taarifa hizo ni za Kamati ya mipango miji na mazingira,Fedha na utawala,Kudhibiti ukimwi,Elimu,afya,maji na uchumi.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Makabidhiano ya Fomu za uteuzi wa Mgombea Nafasi ya Ubunge Jimbo la Korogwe Mjini.

    August 27, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea eneo litakalotumika kwa ajili ya Dampo.

    August 26, 2025
  • Korogwe Mji bila ukatili inawezekana

    August 21, 2025
  • Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Korogwe Mjini amkabidhi fomu Mgombea Ubunge wa Chama cha Wakulima (AAFP).

    August 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.