• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA MAALUMU LA MADIWANI LA KUPITIA,KUJADILI NA KUTOA MAONI JUU YA HOJA ZA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI (CAG) KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Posted on: June 30th, 2017

Kikao cha baraza maalumu la Madiwani kupitia na kutoa maoni juu ya hoja za Mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kimefanyika tarehe 29/06/2017 na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mh. Martine Shegella ambapo katika kikao hicho hoja mbalimbali zilijadiliwa na kutolewa maoni hasa ikiwa ni kuhakikisha hoja hizo zinajibiwa kwa ufasaha na hazijirudii tena katika ukaguzi ujao wa mwaka wa fedha 2016/2017.

Aidha katika kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Tanga alipata fursa ya kutoa neno na kuitumia nafasi hiyo kuipongeza timu nzima ya wataalamu wa Halmashauri ya Mji Korogwe na ofisi ya Mkuu wa Wilaya Korogwe kwa namna ambavyo wamekuwa wakitekeleza miradi  kwa haraka nmo, amepongeza uwekezaji mkubwa uliofanyika wa stendi mpya na yakisasa inayoiletea sifa Halmashauri na Mkoa wa Tanga kwa ujumla.

Akizungumza katika kikao hicho katibu Tawala Mkoa wa Tanga Bi. Zena A. Said alishauri wataalamu kuwa makini katika kutunza kumbukumbu mbalimbali za mahesabu ya Halmashauri na kuzingatia uwepo wa viambatanisho vyote muhimu kabla ya kufanya malipo, pia alisistiza kutenga pesa kwa ajili ya kutoa mkopo kwa vikundi vya kina mama na vijana na kuwafatilia ili mikopo hiyo iweze kurudi na iwe yenye tija kwa vikundi hivyo na kwa Serikali.

Naye Mkuu wa Wilaya Korogwe aliwashukuru timu ya wataalamu wa Halmashauri ya Mji Korogwe wakiwemo watendaji wa Kata kwa jinsi wanavyompa ushirikiano katika miradi mbalimbali anayoianzisha kwa njia ya msalagambo na kuwaahidi zawadi nono kwa mtendajia ambaye kata yake itafanya vizuri.


Madiwani wakifatilia kwa Makini taarifa ya Hoja

Mkuu wa Wilaya Korogwe akitoa neno.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.