• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

Posted on: July 11th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh. William Mwakilema amewataka Maafisa Ugani Mifugo wote katika Halmashauri ya Mji Korogwe kuhakikisha mifugo yote inachanjwa Kama muongozo unavyosema. Mh. Mwakilema alitoa kauli hiyo wakati wa Kampeni ya Kitaifa ya Utambuzi na Uchanjaji wa Mifugo. Zoezi hilo lilifanyika Julai 10, 2025 Kwa Mfugaji Bi. Zaina Kileo Mtaa wa Manzese Kata ya Bagamoyo.

Mkuu wa Idara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Ramadhani Sekija “alieleza kuwa Halmashauri kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepokea Chanjo pamoja na Vifaa wezeshi kwa ajili ya zoezi la Chanjo kwa Mifugo ya Kuku, Mbuzi na Ng’ombe.

Chanjo na Vifaa wezesheji zilizotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi ni pamoja na Chanjo ya Tatu moja dozi 40,000 dhidi ya Kideri, Ndui na Mafua ya Kuku,Chano dozi 4000 ya Ng’ombe dhidi ya Homa ya Mapafu (CBPP) na Chanjo dozi 8,900 ya Mbuzi dhidi ya Sotoka (PPR). Kwa upande wa Vifaa wezeshi ni Mabuti jozi 10, Sindano 116, Mabomba ya sindano4, Nguo za kufanyia kazi (overoll) 10, Hereni za kuvalisha Ng’ombe 4000, Box za kupoozea (Cool boxes). Bw. Sekija   ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuwapatia vifaa wezeshi pamoja na Chanjo kwani itasaidia kukinga mifugo dhidi ya magonjwa mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.