• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Mji wa Korogwe yapongezwa kwa Kupata Hati safi na Ukusanyaji bora wa Mapato.

Posted on: June 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mh. Balozi Dkt. Batilda Burian ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kupata Hati safi kutoka kwa Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na ukusanyaji mzuri wa Mapato kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa Asilimia 98 na kuwa Halmashauri ya kwanza kuvuka lengo kati ya Halmashauri 11 za Mkoa wa Tanga. Mh Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa pongezi  hizo katika kikao maalumu cha Baraza la Madiwani  kupitia Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Juni 13, 2025.

Kwa upande mwingine Mh.Dkt. Batilda alifafanua watumishi msaidieni Mkurugenzi pamoja na Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kutatua changamoto za wananchi ikiwemo kusimamia ukusanyaji wa mapato na kusimamia mifumo ya Serikali vizuri wakati wa kutekeleza majukumu. Katika Kikao hicho Dkt. Batilda Burian aliagiza Menejimenti chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuhakikisha hoja zote za Ukaguzi  zilizowasilishwa  zinatekelezwa kikamilifu ifikapo Juni 30, 2025

Katika Kikao hicho kilihudhuliwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bi. Pili Mnyema, Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa pamoja na ya Wilaya, Maafisa kutoka Ofisi ya Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji kata kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe.          

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.