• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Hospitali ya Taifa Muhimbili na Vodacom watoa Matibabu bure kwa Wakazi wa Mji wa Korogwe.

Posted on: July 21st, 2025

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Kampuni ya Vodacom imeanza kutoa matibabu bure kwa Wakazi wa Mji wa Korogwe na Maeneo Jirani. Huduma zitatolewa kwa muda wa Siku tatu (3) kuanzia Julai 21 – Julai 23, 2025 katika Viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe (TTC) Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Huduma zinazotolewa katika Kambi hiyo ni pamoja na Uchunguzi na Matibabu ya Macho, Afya ya Kinywa na Meno, Afya ya Akili, Saratani ya  mlango wa shingo ya kizazi na matiti, kisukari, pua, masikio, Magonjwa ya Tezi Dume, Homoni , Afya ya Watoto na Homa ya Ini na Wanatarajia kuwahudumia Wagonjwa 342 kwa Siku.

Naye Daktari bingwa wa magonjwa ya Pua, Masikio na Koo kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Jimmy Ernest alisema “kuwa baadhi ya Wagonjwa wananchangamoto sio kubwa sana inaweza kutibika kama Wagonjwa watawahi matibabu mapema kwenye Hospitali na Vituo vya Afya. Kwa upande mwingine Mama wa Mtoto Mahili Hemed aliyepatiwa matibabu ya changamoto ya kuota  nyama ya pua pamoja na Masikio kutoka kwa Dkt. Jimmy ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Huduma karibu na Wananchi kwani imeturahisishia kupata Huduma karibu  hapo zamani tulikuwa  tunasafiri umbali mrefu Kwenda kupata Huduma .

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika Sekta ya Elimu na Afya Mji wa Korogwe.

    July 30, 2025
  • Serikali kuimarisha Sekta ya Kilimo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

    July 28, 2025
  • Hospitali ya Taifa Muhimbili na Vodacom watoa Matibabu bure kwa Wakazi wa Mji wa Korogwe.

    July 21, 2025
  • Halmashauri ya Mji Korogwe yatoa Elimu ya Ukatili wa Kijinsia Shule ya Msingi Mtonga.

    July 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.