• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Fedha yakagua Miradi ya Maendeleo

Posted on: February 8th, 2024

Kamati ya Fedha yakagua Miradi ya Maendeleo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba akiambatana na Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala (Madiwani, Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wa Halmashauri) amefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa. Ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo ilifanyika ikiwa ni sehemu ya ukamilishaji wa Kikao cha Baraza la Madiwani cha Robo ya Pili katika Mwaka wa Fedha 2023 / 2024. Ziara hiyo ilifanyika Februari 8, Mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala walitembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa lengo la kuona ni namna gani Miradi inatekelezwa  ili Miradi hiyo iweze kuchagiza ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri pamoja na kuwaletea Wananchi huduma jirani na maeneo yao. Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Vibanda vya Biashara katika Soko la Manundu, Uboreshaji wa Vibanda vya Biashara katika Stendi ya Zamani ya Manundu pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Zahanati ya Lwengera Darajani iliyoko Kata ya Old Korogwe.

“Nitoe pongezi kwa Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wote wa Halmashauri kwa kukamilisha Mradi wa Ujezi wa Vibanda vya Biashara kwa wakati, kukamilika kwa Vibanda hivi kutasaidia kuongeza mapato ya Halmashauri” Alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati akikagua Mradi wa Ujenzi wa Vibanda vya Biashara katika Soko la Manundu. Mhe. Komba alifafanua kuwa kuongezeka kwa Vibanda vya Biashara katika Soko la Manundu kutaisaidi Halmashauri kuwa na vyanzo vya mapato vyenye uhakika.

“Kadri fedha zitakapopatikana,  Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kushirikiana na Madiwani itaendelea na jitihada za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuongeza  vyanzo vya mapato katika Halmashauri pamoja na kuwasogezea  huduma Wananchi jirani na Maeneo yao”.  Alisema Bw. Elinlaa Kivaya ambaye ni Mchumi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa Ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo akimwakilisha Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.