• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Kampeni ya kupinga Ukatili wa Kijinsia yasonga mbele katika Mji wa Korogwe

Posted on: August 14th, 2024

Kampeni ya kupinga Ukatili wa Kijinsia yasonga mbele katika Mji wa Korogwe

Katika harakati za mapambano dhidi ya Ukatili wa Kijinsia, Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe pamoja na Viongozi wa Dini wamendelea na Kamapeni ya kupinga ukatili huo kwa kutembelea Shule za Msingi na Sekondari zilizopo katika Halmashauri hiyo.

Agosti 14, Mwaka huu (2024), Wataalamu wa Mji wa Korogwe, Vongozi wa Dini pamoja na Mratibu wa Mradi wa US Aid Kizazi Hodari walitembelea Shule ya Msingi Silabu iliyopo Kata ya Old Korogwe. Lengo la kutembelea Shule hiyo ni kukutana na Wanafunzi pamoja na Walimu ili kuzungumza nao, kupokea maoni yao pamoja na kuelimishana mbinu za kupinga ukatili wa Kijinsia kwa Wanafunzi katika maeneo ya Shule na Familia kwa ujumla.

“Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia vimeongezeaka ni vyema kuwaelimisha Wanafunzi ili waweze kutoa taarifa kwa Walimu, Wazazi pamoja na Walezi pindi wanapokumbana na ukatiki huo”. Alisema Bi. Happya Luteganya ambaye ni Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wakati akizungumza na Walimu wa Shule ya Msingi Silabu. Kwa upande mwengine Bi. Luteganya amewataka Wanafunzi kujiepusha na tabia ya kukaa karibu na Watu wenye tabia mbaya pamoja na kupokea vitu vya bure kwa watu ambao hawana nasaba nao.

Nae Bi. Sponsa Mhagama ambaye ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Silabu aliwashukuru Wataalamu wa Mji wa Korogwe, Viongozi wa Dini pamoja na Mratibu wa Mradi wa US Aid Kizazi Hodari kwa kutembelea shuleni hapo. Bi Mhagama alisema “Natoa shukrani zangu za dhati kwa Watu wote mliokuja kututembelea hapa Shuleni, swala la mapambano ya Ukatili wa Kijinsia kwa Watoto sio jukumu la Walimu pekeyeo hili ni jukumu la Jamii nzima”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.