• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Katibu Tawala Wilaya ya Korogwe atoa msaada Gereza la Korogwe

Posted on: November 23rd, 2021

Katibu Tawala Wilaya ya Korogwe atoa msaada Gereza la Korogwe

Kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, Katibu Tawala Wilaya ya Korogwe akiwa pamoja na Kamati ya maandalizi za sherehe za  uhuru wa Tanganyiaka  Novemba 23, mwaka huu amekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali  kwa Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Korogwe lililopo Korogwe Mjini. Msaada huo uliotolewa na Katibu Tawala  Wilaya ya Korogwe unajumlisha Sukari, Mchele, Mafuta ya kupikia, Dawa za meno pamoja  na Sabuni.

“Katika kusheherekea miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, Serikali tumemiletea zawadi ili tuweze kufurahi kwa pamoja” alisema Bi. Rahel Mhando ambaye ni Katibu Tawala Wilaya ya korogwe.  Bi. Rahel  alifafanua kuwa  sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, zitakazofikia kilele chake Desemba 9, mwaka huu, inasheherekewa na  wananchi wote  ikijumlisha waliopo magerezani.

Katika Hatua nyengine, Bi. Rahel amewataka Vijana  wanatumikia vifungo Gerezani,  baada  ya kumaliza vifungo vyao kuwa waadilifu watakaporudi katika jamiii ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwa leo la kuimarisha uchumi wao   na maendeleo ya nchi kwa ujumla. Bi. Rahel alisema “mtakaporudi katika jamii kuweni waadilifu”.

“Tunatoa shukrani kwa Uongozi wa Wilaya ya Korogwe na Serikali kwa ujumla kwa kutupatia  msaada” alisema SP. Godfrey Mhando ambaye ni Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Korogwe. SP. Mhando alifafanua kuwa  wafungwa sio tu wanahitaji kupewa msaada na Serikali bali Wananchi wote wanakaribishwa kuonana na uongozi wa Magereza  iwapo wanahitaji kutoa msaada.

Katika hatua nyingine, Wafungwa waliokabidhiwa msaada wa vifaa mbailmabali walitoa shukrani kwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Korogwe na Serikali kwa ujumla kwa kuwapatia msaada.   

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.