• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Maandalizi ya daftari la kudumu la wapiga kura yakamilika Mji wa Korogwe

Posted on: January 20th, 2020

Maandalizi ya daftari la kudumu la wapiga kura  yakamilika Mji wa Korogwe

Halmashauri ya Mji wa Korogwe  kwa kushirikiana na maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wametoa mafunzo ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura  kwa wasimamizi wasaidizi pamoja na wasimamizi wa mashine za vitambulisho vya kura. Mafunzo haya yametolewa Januari 20, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano uliopo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Akizungumzia mafunzo haya ndugu Kasimu Kaoneka ambaye ni Afisa Elimu ya msingi na anayemuwakilisha Mkurugenzi  alisema “ni muhimu  kwa wote waliopata mafunzo haya kwenda na muda na kufanya kazi kwa umakini wakati wa uandikishaji”. Nae  Mh. Mary Longway  ambaye ni Kamishna kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  alisema “ washiriki wa mafunzo  mnahitajika kuwa makini pamoja na kuzingatia maadili ya kazi yenu”.

 Kwa mujibu wa ndugu Charles Mtali ambaye ni  Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe,  Mji wa Korogwe  kunatarajiwa kuwa  na vituo sabini na sita (76) vya uandikishaji, huku zoezi la uandikishaji litaanza  Januari 23 hadi 29 mwaka huu. Vituo vitafunguliwa saa mbili (2) asubuhi na kufungwa saa kumi na mbili (12) jioni.

Kwa upande mwingine Bwana Petro Ryioba ambaye ni msimamizi wa mashine za vitambulisho vya kura alisema kuwa mafunzo ni mazuri sababu wawezeshaji wamejitahidi kutoa elimu ya ya kutosha namna ya kutumia mashine za vitambulisho. Vilevile Bi. Shangwe Msuya ambaye pia ni mshiriki wa mafuzo  haya alisema mafunzo waliyotolewa na wawezeshaji yameeleweka vizuri hivyo anaimani kubwa washiriki watafanya kazi ya uandikishaji kwa ufanisi.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.