• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe watembelea miradi ya maendeleo

Posted on: January 19th, 2021

Madiwani, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe watembelea miradi  ya maendeleo

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakiambatana na Mkurugenzi pamoja na Wakuu wa Idara mbalimbali wametembelea miradi ya maendeleo ikiwa ni ziara yao ya  kwanza  baada ya kuingia madarakani katika kipindi cha mwaka 2020 hadi 2025. Lengo kuu la ziara hiyo ni kuangalia namna  miradi hiyo ilivyokamilika na  mafanikio yake kwa wananchi.  Ziara hiyo imefanyika  Januari 19, mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

“Kwa kiasi kikubwa miradi hii ya elimu imesaidia kupunguza baadhi ya changamoto zilizokuwa zikiwakabili wanafunzi” alisema Mhe. Fancis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Diwani wa Kata ya Mtonga wakati akikagua miradi ya ujenzi wa Madarasa, mabweni pamoja na matundu ya vyoo. Mhe. Komba alitoa msisitizo kwa walimu kwa kusema “walimu fanyeni kazi kwa bidii na hakikisheni ufaulu wa wanafunzi unaongezeka katika shule zenu”.

Katika ziara hiyo, miradi iliyotembelewa  ni pamoja na ujenzi wa madarasa katika Shule ya Sekondari Kimweri, ujenzi  madarasa pamoja na mabweni katika Shule ya Sekondari Semkiwa pamoja na ujenzi wa shule ya Sekondari Bagamoyo. Miradi mingine ni ujenzi wa matundu ya vyoo katika Shule za Msingi Matondoro, Mgombezi pamoja na Bagamoyo. 

Miradi mingine ni pamoja na  mradi wa ufugaji wa nyuki katika  eneo la Kwameta unamilikiwa na kikundi cha Silabu Beekiping kilichopo Kata ya Old Korogwe, mradi wa uchimbaji wa kisima cha kutikisa katika Mtaa wa Mbeza, mradi wa Kituo kikubwa cha mabasi Kilole, mradi wa Soko la Kilole pamoja na mradi wa vyoo vya umma katika Soko la Manundu.

“Kadri fedha zitakavyopatikana tutawekeza katika miradi mbalimbali ili kupunguza baadhi ya changamoto kwa wananchi” alisema Bi. Bernadetha January ambaye ni Mchumi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na anaemuakilisha Mkurugenzi wakati wa ziara hiyo. Bi. January alifafanua zaidi kwa kusema “baadhi ya miradi sio tu itasaidi wananchi kupata huduma lakini pia itasaidia kuongeza mapato katika Halmashauri”.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.