• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe watembelea miradi ya maendeleo

Posted on: October 26th, 2021

Madiwani, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe watembelea miradi ya maendeleo

Madiwani, Mkurugenzi pamoja na Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe  wametembelea miradi ya maendeleo  ikiwa ni utekelezaji wa ziara za  kutembelea miradi katika kipindi cha Robo ya Kwanza kwa Mwaka wa fedha 2021/2022. Ziara hiyo ya kutembelea miradi imefanyika Oktoba 26, Mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Katika ziara hiyo miradi iliyotembelewa ilijumuisha Mradi wa Ujenzi wa Uzio wa matofali ya saruji katika Kituo cha Afya cha Majengo wenye thamani ya Shilingi Milioni 21, Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mgombezi wenye thamani ya Shilingi Milioni 500, ambapo Serikali tayari imeshatoa Shilingi Milioni 250 za awali kwaajili ya utekelezaji wa mradi huo.

Madiwani, Mkurugenzi pamoja na Walaalamu pia walitembelea Mradi wa Kiwanda cha kutengeneza tofali za saruji kinachomilikiwa na Halmashauri ya Mji wa Korogwe wenye thamani ya Shilingi Milioni 93 uliopo eneo la Bagamoyo jirani ya Kituo cha Mabasi cha Balozi John Kijazi. Kiwanda hicho cha tofali kinauwezo wa kuzalisha tofali Elfu Nne kwa siku moja.

“Natoa pongezi kwa kamati yote inaayosimamia mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mgombezi, mradi unaendelea vyema” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Diwani wa Kata ya Mtonga wakati wa ukaguzi wa miradi. Mhe. Komba alifafanua kuwa mradi wa Kituo cha Afya cha Mgombezi utakapokamilika utakuwa mkombozi kwa Wananchi wa Kata ya Mgombezi na maeneo ya jirani katika kuwapatia huduma za afya kwa ukaribu zaidi.

“Wananchi waunge mkono jitihada za serikali katika ujenzi wa miradi kwa kuchangia nguvu kazi” alisema Bi. Bernadetha January ambaye ni Mchumi katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe aliyemuwakilisha Mkurugezi wakati wa ziara ya kutembelea miradi. Bi. January alisisitiza kuwa iwapo Wananchi watashiriki ipasavyo katika kuchangia nguvu kazi wakati wa utekelezaji wa miradi, watasaidia miradi kukamilika kwa wakati na kupunguza gharama za fedha.

Katika hatua nyengine, Bi.Khadija Runza ambaye ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Majengo aliishukuru Halmashauri ya Mji wa Korogwe na Serikali kwa ujumla kwa kutekeleza  mradi wa Ujenzi wa uzio katika Kituo cha Afya cha Majengo. Bi.Khadija alifafanua kuwa ujenzi wa uzio huo utasaidia kuimarisha ulinzi katika kituo hicho.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.