• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani wa Mji wa Korogwe wapitia taarifa ya hesabu 2021/22

Posted on: September 29th, 2022

Madiwani wa Mji wa Korogwe wapitia taarifa ya hesabu 2021/22

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba ameongoza Baraza la Madiwani ambalo ni maalumu kwaajili ya kupitia Taarifa za Hesabu katika mwaka wa fedha 2021/22 kabla ya kuwasilishwa kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali. Baraza hilo  la  Madiwani  lilihudhuriwa pia na Wataalamu wa Halmashauri  pamoja na Wawakilishi kutoka Ofisi ya   Mkuu wa Mkoa wa Tanga limefanyika Septemba 29, mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa  Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Natoa pongezi kwa Wataalamu wote wa fedha kwa kufanya kazi kwa bidii iliyopelelea kuandaa taarifa nzuri ya hesabu” alisema Mhe. Fancis Komba ambae ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa upitiaji wa Taarifa za Hesabu katika Baraza la Madiwani. Mhe. Komba  alifafanua kuwa ni vyema Wataalamu  wote wa fedha katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe wafanye kazi kwa  weledi huku wakizingatia kanuni na taratibu zote za fedha ili kuiwezesha Halmashauri kupata hati safi.

“Wataalamu wa fedha msijisahau kwa kuandaa taarifa nzuri ya hesabu, kazi bado inaendelea na kipindi kijacho msije mkajisahau mkaanguka” alisema Ndugu Sebastian Masanja ambaye ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga wakati wa Baraza la Madiwani. Nae Ndugu Valentine Christopher ambaye ni Kaimu Mkuurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alitoa shukrani kwa  Madiwani pamoja na Wawakilishi kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga kwa kupitia Taarifa ya hesabu pamoja na kuipitisha  ili iweze kuwasilishwa katika hatua nyengine.

Matangazo

  • MAJINA YA WATU WALIOITWA KWENYE USAILI - KOROGWE TC July 05, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 24, 2022
  • KOROGWE GIRLS S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • KWAMNDOLWA S.S JOINING INSTRUCTIONS 2020/2021 December 15, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mji wa Korogwe watoa Mkopo wenye thamani ya Shilingi Milioni 97

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wapata Mradi wa ujenzi wa mfumo wa kisasa wa Maji Taka

    January 11, 2023
  • Mji wa Korogwe wakamilisha mradi wa ujenzi wa madarasa

    January 09, 2023
  • Mji wa Korogwe waungana na Mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani

    December 01, 2022
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.