• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Madiwani watakiwa kuunga mkono jitihada za ukusanyaji wa mapato

Posted on: November 12th, 2024

Madiwani watakiwa kuunga mkono jitihada za ukusanyaji wa mapato

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. William Mwakilema amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kuunga mkono jitihada za ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri. Jitihada hizo ni pamoja na kushirikiana na Wataalamu wa Halmashauri katika kubuni vyanzo vipya  vya mapato pamoja na kuendeleza vile vilivyopo. Mhe. Mwakilema alitoa kauli hiyo wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani linachohitimisha kipindi ya Robo ya Kwanza katika mwaka wa fedha 2024/2025. Baraza hilo lilifanyika Novemba 12, Mwaka huu (2024) katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Madiwani kwa kushirikiana na Wataalamu wa Halmashauri jitahidini kubuni vyanzo vipya vya mapato” alisema Mhe. William Mwakilema ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe. Mhe. Mwakilema alifafanua kuwa Halmashauri ikifanikisha kukusanya fedha za kutosha kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato, fedha hizo zitasaidia katika uendeshaji wa Halmshauri pamoja na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Nae Mhe. Nassoro Mohamed ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mji wa Korogwe kwaniaba ya Madiwani alisema “Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya shukrani kwa kutukumbusha, Madiwani tuko tayari kushirikiana na Wataalamu wa Halmashauri katika kubuni vyanzo vipya pamoja na kusimamia vilivyopo kwa ukamilifu”.

Kwa upande mwengine, Bi. Mwashabani Mrope ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “Swala la ukusanyaji wa mapato ni letu wote, Madiwani, Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wa Halmashauri. Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya tunakushukuru kwa kutusisitiza tuweze kuongeza nguvu katika ukusanyaji wa mapato”. Bi. Mwashabani alifafanua kuwa Halmashauri kwa kushirikiana na Madiwani tayari imeshaanza utekeleaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo (Soko la Manundu) ambayo itasaidia kuongeza mapato ya Halmashauri.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.