• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mama Samia awafuta machozi Wananchi wa Old Korogwe

Posted on: May 14th, 2024

Mama Samia awafuta machozi Wananchi wa Old Korogwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan amewafuta machozi Wananchi wa Kata ya Old Korogwe iliyopo katika Mji wa Korogwe baada ya kuwapatia fedha kiasi cha Shilingi Milioni Themanini kwaajili ya Ujenzi wa Vyumba Vinne vya Madarasa katika Shule ya Msingi Old Korogwe. Wananchi hao walikuwa na kilio cha muda mrefu kuhusu uhaba wa vyumba vya madarasa katika shule hiyo baada ya baadhi ya vyumba kutotumika kutokana na ukongwe wa shule hiyo iliyojengwa tokea enzi za ukoloni.

Baada ya kukabidhiwa fedha hizo Kiasi cha Shilingi Milioni Themanini, Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Kwazomolo kwa kushirikiana na Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe walianza utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Vyumba Vinne vya Madarsa. Hadi kufikia Mei 13, Mwaka huu (2024) Mradi huo wa Ujenzi ulishafikia hatua ya Msingi pamoja na ujazaji wa vifusi ili kuanza upandishaji wa kuta.

Akizungumzia utekelezaji wa Mradi huo baada ya kuutembelea na kuona utekelezaji wake, Bi. Mwashabani Mrope ambaye ni Mkurugenzi wa Halmshauri ya Mji wa Korogwe alisema “Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni msikivu kwa Wananchi wake.  Tayari ameshatupatia fedha kwaajili ya utekelezaji wa Mradi, ni vyema Wananchi na Halmashauri tukashirikiana kwa pamoja katika kufanikisha Mradi huu”.

“Mama Samia ametufanya Wananchi wa Old Korogwe kuwa na furaha tele baada ya kutuletea Mradi wa ujenzi, tulisahaulika kwa muda mrefu sasa ni wakati wetu kutembea vifua mbele” alisema Bw. Peter Mhina ambaye ni Mwananchi kutoka Kata ya Old Korogwe. Bw. Mhina alisissitiza kuwa Wananchi wa Old Korogwe wanaunga mkono jitihada za Rais katika kufanikisha uboreshaji Elimu hapa nchini. Utelelezaji wa Mradi wa Ujenzi katika Shule ya Msingi Old korogwe ulianza Mwezi Mei, 2024 na unatarajiwa kukamilika Mwezi Juni, 2024.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.