• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mh. Komba awataka Wataalamu kuwa Wazalendo katika Miradi ya Serikali.

Posted on: April 29th, 2025

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mh. Francis Komba akiambatana na Madiwani wa kamati ya Fedha, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope Pamoja na Wataalamu wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe katika ziara ya kutembelea Miradi ya Maendeleo. Mh. Komba amewataka Wataalamu kuwa wazalendo na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali. Kauli hiyo aliitoa  katika ziara ya Madiwani wa kamati ya Fedha na  Utawala kama sehemu ya kuhitimisha Robo ya Tatu katika Mwaka wa Fedha 2024/ 2025. Ziara hiyo ilifanyika  Aprili 28 Mwaka huu (2025) katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Miradi iliyotembelewa na na Mh. Komba pamoja na kamati ya Fedha na Utawala ni  Mradi wa ujenzi wa  chumba cha Tehama  kilichopo  Shule ya Msingi Mbeza katika kata ya Manundu, Mradi wa ujenzi wa Nyumba ya Mganga mbili kwa moja (Two in one) katika Zahanati ya Lwengera Darajani inayopatikana kata ya Old Korogwe, Ukarabati wa Soko  la Samaki lililopo kata ya Manundu, Mradi mwingine uliotembelewa ni Ujenzi wa Mradi wa Nyumba ya Mwalimu Mbili kwa moja (Two in One) pamoja na Maendeleo ya Shule ya Sekondari Msambiazi  iliyopo kata ya Mtonga na Mradi wa Mwisho kutembelewa ulikuwa ni Ujenzi wa  Bweni  la Wanafunzi   katika Shule ya Sekondari Ngombezi inayopatikana kata ya Mgombezi.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.