• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Miradi ya Maendeleo isimamiwe

Posted on: November 21st, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe Bi. Zahara Msangi akiambatana na Wakuu wa Idara na Vitengo watembelea miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ikiwa ni utaratibu wa kila wiki katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Ziara hiyo imefanyika Novemba 20, 2025 katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

 Bi. Zahara Msangi amewataka wasimamizi wa miradi hiyo kusimamia miradi hiyo ili kuhakikisha inamalizika kwa wakati na katika ubora unaohitajika. Mkurugenzi huyo ametoa onyo kali kwa yoyote atakaekiuka taratibu na sheria katika kutekeleza majukumu yake katika usimamizi wa miradi inayoendelea.

Aidha Bi. Zahara Msangi amewaomba wasimamizi wa miradi hiyo kuidhinisha malipo ya wazabuni kwa wakati bila kutoa visingizio. Katika kusema hayo amewataka mafundi katika mradi kufanya kazi kwa bidii na uweledi kwa maslahi ya kujenga Taifa bora.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa madarasa 2 ya mfano na matundu 6 ya vyoo, Madarasa 3 ya msingi na matundu 6 ya vyoo ya msingi  katika Kituo shikizi cha Kitifu, umaliziaji wa chumba 1 cha darasa Matondoro, ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo katika shule ya msingi Antakaye, ujenzi wa madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo ya elimu msingi katika shule ya msngi Mbeza Mazoezi, ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi, umaliziaji wa vyumba 2 vya madarasa, umaliziaji wa chumba 1 cha darasa katika shule ya msingi New Korogwe.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI YOTE INAPASWA KUKAMILIKA KWA UBORA NA KWA MUDA ULIOPANGWA

    November 22, 2025
  • SIMAMIENI MAPATO

    November 21, 2025
  • Miradi ya Maendeleo isimamiwe

    November 21, 2025
  • Kikao Kamati ya Lishe

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.