• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YOTE INAPASWA KUKAMILIKA KWA UBORA NA KWA MUDA ULIOPANGWA

Posted on: November 22nd, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Korogwe Bi. Zahara Msangi amewataka Waalimu na Watendaji wa Kata kuhakikisha Miradi yote inayotekelezwa katika maeneo yao inatekelezwa kwa kuzingatia taratibu na miongozo ya utekelezaji wa miradi hiyo. Kufuata miongozo kutawezesha miradi hiyo kukamilika kwa ubora na kwa wakati.

Bi Zahara Msangi ameyasema hayo katika kikao cha tathmini ya utekelezaji wa miradi kilichofanyika Novemba 22, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Korogwe.

Kikao cha tathmini ya utekelezaji wa miradi kilihusisha Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule, Walimu Wakuu, Watendaji Kata na Mitaa pamoja na Wenyeviti wa Kamati za Miradi. Wengine walioshiriki ni Idara ya Ujenzi, Mipango, Kitengo cha Fedha, Manunuzi na Wakuu wa Idara zenye Miradi inayotekelezwa na Halmashauri.

Bi. Zahara Msangi amewataka watumishi kufanya kazi kwa upendo na ushirikiano ili kuwezesha Halmashauri kufikia malengo yake.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI YOTE INAPASWA KUKAMILIKA KWA UBORA NA KWA MUDA ULIOPANGWA

    November 22, 2025
  • SIMAMIENI MAPATO

    November 21, 2025
  • Miradi ya Maendeleo isimamiwe

    November 21, 2025
  • Kikao Kamati ya Lishe

    November 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.