• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe waadhimisha Siku ya Mazingira Duniani

Posted on: June 5th, 2020

Mji wa Korogwe waadhimisha Siku ya Mazingira Duniani

Juni 5 ya kila mwaka Halmashauri ya Mji wa Korogwe huungana na Taasisi mbalimbali hapa Nchini na Dunia kwa ujumla kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, lengo likiwa ni kuelimishana na kusisitiza umuhimu wa kutunza mazingira ili kunufaisha kizazi kilichopo na cha badae.

 Katika Mji wa Korogwe shughuli mbalimbali zinazohusiana na Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani zilianza kufanyika kuanzia Juni 1 hadi 5, mwaka huu ambayo ndio siku ya kilele cha Maadhimisho ya haya. Hapa Nchini kaulimbiu ya mwaka huu ni “Tutunze Mazingira: Tukabiliane na Mabadiliko ya Tabianchi” Kauli ambayo inasisitiza wananchi kutunza mazingira ili kukabiliana na athari mbalimbali zinazosababishwa na mabadiliko ya tabianchi.

Akizungumzia Siku ya Mazingira Duniani, Ndugu Mohammed Mndeme ambaye ni Kaimu Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alisema “katika maadhimisho ya mwaka huu wataamu wa mazingira tumewatembelea wadau mbalimbali wa mazingira kwa lengo la kuelimishana namna ya kuhifadhi mazingira ili yawe endelevu kwa vizazi vijavyo”. Ndugu Mndeme alitoa ushauri wa wananchi kwa kusema “kazi ya uhifadhi wa mazingira sio jukumu la Serikali pekeyake bali ni jukumu la Wananchi wote kuhakikisha  mazingira yanaimarishwa vyema”.

Nae Ndugu Juma Mhina ambaye ni mdau wa uhifadhi wa mazingira kutoka Kijiji cha Kwamsisi alitoa shukrani kwa Idara ya Mazingira kwa jitihada inayofanya katika kutoka elimu kwa wadau wa mazingira na wananchi kwa ujumla kuhusu utunzaji wa mazingira. Ndugu Mhina pia alitoa nasaha kwa vijana kwa kusema "  vijana wachangamkie fursa ya uhifadhi wa mazingira katika kujiajiri kwenye biashara ya utengenezaji wa vitalu vya miti  ya  mbao, matunda pamoja na maua ili kujikwamua kiuchumi".

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.