• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Posted on: March 8th, 2021

Mji wa Korogwe waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Wanawake wa Mji wa Korogwe wameungana na wanawake wote Duniani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Maadhimisho ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo Tarehe 8 Mwezi Machi. Maadhimisho ya mwaka huu yamefanyika katika Mtaa wa Kwasemangube uliopo Kata ya Magunga. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wanawake katika uongozi chachu kufikia Dunia yenye usawa”.

Maashimisho ya  siku ya wanawake Duniani kwa mwaka 2021  ni muendelezo wa harakati za wanawake wa Mji wa Korogwe kukutana kwenye jukwaa moja wakiwa na malengo mbalimbali kama vile kupeana faraja, kuelimishaana pamoja na kupeana mbinu mbalimbali za kufungua milango ya fursa  katika Nyanja za Kiuchumi, Kisiasa pamoja na Kijamii.

“natoa pongezi kwa wanawake wa Mji wa Korogwe kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani” alisema Mhe. Kissa Kasongwa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe na ndiye mgeni rasmi. Katika maadhimisho hayo Mhe. Kasongwa alisisitiza kuwa ili wanawake waweze kupata maendeleo ni vyema wafanye kazi kwa bidii. Nae Mhe. Iddi Kabwele ambaye ni Diwani wa Kata ya Magunga alisema “Wakinababa pia tunatoa pongezi kwa Wanawake katika maadhimisho haya ya Siku ya Wanawake Duniani”.

“Natoa pongezi kwa vikundi vyote vya Wakinamama ambao wamerudisha mkopo wa Halmashauri kwa wakati” alisema Dr. Fortunata Silayo ambaye ni Afisa Mifugo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe anayemwakilisha Mkurugenzi katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Dr. Silayo alilfafanua  kuwa Halmashauri itaendeleza  harakati zake katika kuwapatia mikopo wanawake ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Nae Bi. Charity Sichona ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii alisema “wanawake tujitokeze kwenye Ofisi za Ustawi wa Jamii ili kufichua ukatili wa kijinsia” Bi. Charity alifafanua kuwa katika jamii kuna wanawake wengi ambao hufanyiwa ukatili wa kijinsia hivyo ni muda muafaka kujitokeza  katika idara husika ili waweze kupata msada katika kukabiliana na changamoto hizo. Kwaupande mwengine, Wanawake waliojitokeza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani walitoa shukrani kwa Serikali, Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Wanaharakati mbalimbali wa maswala ya Wanawake kwa kufanikisha maadhimisho hayo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.