• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wajipanga kupambana na majanga

Posted on: October 23rd, 2019

Mji wa Korogwe wajipanga kupambana na majanga

Halmashauri ya Mji wa Korogwe umejipanga  kupambana na majanga ya moto na mengine ya asili katika idara zake ili kujiepusha na uharibifu wa mali za umma pamoja na vifo vya watu. Mikakati hii imewekwa Oktoba 23, mwaka huu katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji  wa Korogwe baada ya kupata mafunzo ya  kupambana na moto pamoja na uokoaji kwa ujumla katika maeneo ya kazi yaliyotolewa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Akizungumzia mafunzo hayo ndugu Sharifu Salehe afisa habari kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kituo cha Korogwe alisema ni muhimu taasisi  kupanga mikakati ya kupambana na moto pamoja uokoaji katika majanga mbalimbali kabla ya majanga ya moto kujitokeza  na kuleta madhara katika idara za serikali. Ndugu salehe alifafanua zaidi ni vyema taasisi ya seikali kuweka  mikakati imara ya uokoaji  ili kujiepusha za uharibifu wa mali ya umma pamoja na vifo vya watu

Nae ndugu Ramadhani Sekija afisa kilimo wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe anayemuwakilisha Mkurugenzi  ameshukuru Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kutoa mafunzo ya kupambana na moto pamoja na uokoaji kwa ujumla kwa wakuu wa vitengo na idara katika halmashauri. Ndugu sekija aliendelea kusema kuwa elimu waliyoipata itasaidia kuweka mikakati imara katika kupambanana na moto pamoja na majanga mengine katika  idara za serikali hususani idara za Afya pamoja na Elimu.

Kwa upande mwingine Mh. Nasoro Hassani ambaye ni diwani wa kata ya Kwamsisi alisema mafunzo ya kupambana na moto pamoja na majanga mengine  yametolewa katika muda muafaka wakati Mji wa Korogwe unakumba na majanga ya moto pamoja na majanga mengine ya asili. Mh. Hassani ametolea wito madiwani wote waliopata mafunzo kuwa mabalozi katika kata zao na kuwasisitiza wananchi kuwa na vifaa vya kuzimia moto ambapo kwa sasa  wananchi wengi wanatumia majiko ya gesi.

Akihitimisha kutoa mafunzo ndugu Zubeda Bakari ambaye ni afisa ukaguzi kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji alitoa ushauri kwa wakuu wa vitengo, idara pamoja na waheshimiwa madiwani  ni vyema  majengo ya serikali pamoja na wanachi kabla ya kujengwa kupeleka ramani za majengo katika Jeshi la zimamoto na uokoaji. Lengo la ukaguzi wa huu ni  kuhakikisha  ramani ya nyumba pamoja na mtaa ni inarahisisha uokoaji panapotokea  majanga ya moto na mengine ya asili.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.