• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24

Posted on: February 9th, 2023

Mji wa Korogwe wapanga kutumia Shilingi Bilioni 26 Mwaka 2023/24 

Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wamepitisha Bajeti ya Shilingi Bilioni 26 {26,323,677,000} kwa ajili ya matumizi ya Halmshauri hiyo katika mwaka wa fedha 2023/24.   Bajeti hiyo ya Halmashauri ilipitishwa wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha Robo ya Pili katika Mwaka wa Fedha 2022/23 kilichofanyika Februari 09, Mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauriya Mji wa Korogwe.

 “Nitoe pongezi kwa Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wote wa Halmashauri kwa maandalizi mazuri ya Bajeti ya Mwaka wa fedha 2023/24”. Alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Mhe. Komba alisistiza kuwa Madiwani wote watasimama imara kuhakikisha Bajeti ya Mwaka wa fedha 2023/24 itatekelezeka kwa lengo la kuwanufaisha Wananchi wa Mji wa Korogwe.

“Mpango huu wa Bajeti ya Mwaka wa fedha 2023/24 unalenga kuwashirikisha Wananchi katika kukuza uchumi na kupunguza umaskini”. Alisema Bw. Elinlaa Kivaya ambaye ni Mchumi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Bw. Kivaya alifafanua kuwa Mpango huo wa Bajeti ya Mwaka wa fedha 2023/24 umeandaliwa kwa kushirikisha Wananchi kuanzia ngazi ya Vijiji, Mtaa hadi Kata.

Kwa upande mwengine, Wananchi wa Mji wa Korogwe pamoja na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walioshiriki katika Baraza la Madiwani la Robo ya Pili katika mwaka wa Fedha 2022/23  walitoa pongezi kwa Mkurugenzi na Halmashauri kwa ujumla kwa maandalizi mazuri ya Bajeti inayolenga kuwakwamua  Wananchi kiuchumi na kupunguza umaskini.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.