• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe watakiwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

Posted on: May 7th, 2024

Mji wa Korogwe watakiwa kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato

Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba ameitaka Halmshauri ya Mji wa Korogwe kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato ili iweze kufikia lengo iliyojiwekea. Kauli hiyo aliitoa wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani kinachohitimisha kipindi cha Robo ya Tatu katika Mwaka wa fedha 2023 / 2024. Kikao hicho kilifanyika Mei 07, Mwaka huu katika Ukumbi  wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Mpaka kufikia Aprili 30, Mwaka huu (2024) Halmashauri ya Mji wa Korogwe imeshakusanya Mapato kwa Asilimis 79.  Mapato hayo yamekusanywa kutoka vyanzo mbalimbali vya Mapato vilivyopo Halmshauri huku ikibakiza Asilimia 21 ya ukusanyaji wa Mapato ili kufikia lengo iliyojiwekea katika Mwaka wa fedha 2023 / 2024.

“Kila Mtaalamu wa Halmashauri kwa nafasi yake aongeze kasi ya ukusanyaji wa mapato ili tufikie lengo tulilojiwekea” alisema Mhe. Francis Komba ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani. Mhe. Komba alisisitiza kuwa kuongezeka kwa mapato katika Halmashauri kutasaidia Halmashauri kuwa na fedha za kutosha zitakazosaidia katika utekelezaji wa Miradi ya Mendeleo.

“Mheshimiwa Mwenyekiti Maelekezo yote uliyotupa tumeyapokea na tutayafanyia kazi” alisema Bw. Elinlaa Kivaya ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani. Bw. Kivaya alifafanua kuwa Halmashauri imejipanga vyema katika kuhakikisha inakamilisha Asilimia 21ya mapato ilizobakia ili kufikia lengo iliyojiwekea katika Mwaka wa fedha 2023 / 2024.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.