• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mji wa Korogwe waungana na Mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani

Posted on: December 1st, 2022

Mji wa Korogwe waungana na Mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani

Mji wa Korogwe leo umeungana na Mataifa mbalimbali Ulimwenguni kuadhimisha Siku ya Ukimwi Duniani. Siku hii huadhimishwa kila Mwaka ifikapo Tarehe Moja ya Mwezi Desemba . Lengo la maadhimisho hayo ni kutoa elimu kuhusu namna ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, kupiga vita unyanyapaa pamoja na kuhimiza Watu kwenda kufanya vipimo ili kufahamu afya zao. Katika Mji wa Korogwe maadhimisho hayo yamefanyika katika Soko la Msambiazi lililopo Kata ya Mtonga.  Kauli mbiu ya Mwaka huu ni “Imarisha Usawa”.

“Nitoe rai kwa Vijana na Watu wote kwa ujumla kujikinga na janga hili la Ukimwi” alisema Mhe. Andrew Gao ambaye ni Diwani wa Kata ya Masuguru aliekuwa Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani Mwaka huu.  Mhe Gao alisisitiza kuwa  ni vyema kila mmoja akawa na tahadhari na afya yake, tahadhari hiyo itamfanya Mtu  kuwa makini sio tu  kujikinga na ugonjwa wa Ukimwi bali pia na magojwa mengine.

Nae Bi. Charity Sichona ambaye ni Afisa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe  aliyemuakilisha Mkurugenzi katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi  Duniani alisema “ tujiupushe na tabia ya kunyoosheana vidole katika Jamii, kumnyoshea kidole  Mtu kwa  dhana ya kuwa ni mwathirika wa  Ukimwi ni unyanyapaa na pia ni ukatili mkubwa wa kijinsia”. Bi. Charity alisisitiza kuwa ni vyema Watu wenye ugonjwa wa Ukimwi tukaishi nao kwa furaha na upendo kama walivyo Watu wenye maradhi mengine.

“Ni vyema tukapima afya zetu kabla ya kufunga ndoa” alisema Bw. Lawi Mshana ambaye ni  Mchungaji wa Kanisa la Victorius Life Ministries akiyeshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu. Bw. Mshana alifafanua kuwa kunafuraha kubwa iwapo Mtu ataingia kwenye ndoa huku akiwa anafahamu afya yake. Nae Bi. Saumu Kingu ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe aliyeshiriki katika Maadhimisho hayo  alitoa shukrani kwa Serikali na Asasi zote za Kiraia  kwa  kufanikisha vyema Maadhimisho ya Mwaka huu.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo na Vifaa wezeshi

    July 11, 2025
  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.