• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akagua Ujenzi wa Miradi Sekta ya Elimu

Posted on: May 2nd, 2024

Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akagua Ujenzi wa Miradi Sekta ya Elimu

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope akiambatana Pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri hiyo amefanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Ujenzi katika Sekta ya Elimu yenye thamani ya Shilingi Milioni Mia Nne Sabini na Mbili na Laki Tano. Miradi hiyo ya Ujenzi, inahusisha Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa pamoja na Matundu ya Vyoo katika Shule za Msingi Pamoja na Sekondari. Ziara hiyo ya ukaguzi wa Miradi ilifanyika Mei 02, Mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe.

Miradi ya Ujenzi katika Sekta ya Elimu inayotekelezwa katika Mji wa Korogwe, inatekelezwa na fedha kutoka Serikali Kuu pamoja na fedha za Wahisani katika Mradi wa EP4R kupitia Serikali Kuu. Utekelezaji huo wa Miradi, unahusisha Ujenzi wa Vyumba 08 vya Madarasa katika Shule za Msingi pamoja na Vyumba 08 vya Madarasa  katika Shule za Sekondari. Ujenzi wa Vyumba vya madarasa unaendana pamoja na Ujenzi wa Matundu 42 ya Vyoo katika Shule za Msingi Pamoja na Matundu 16 ya Vyoo katika Shule za Sekondari.

Miradi yote ya Ujenzi katika Sekta ya Elimu inayotekelezwa katika Mji wa Korogwe, Utekelezaji wake ulianzia Aprili 06, Mwaka huu na inatarajiwa ifikapo June 30, Mwaka huu Miradi yote iwe imekamilika.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.