• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe afungua semina ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Posted on: October 7th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe afungua semina ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mh. Kissagwakisa Kasongwa amefungua semina ya mawakala wa vyama vya siasa pamoja na waandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 24, mwaka huu. Ufunguzi huu wa semina umefanyika Oktoba 7, katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

 Akizungumzia mchakato wa uchaguzi Mh. Kasongwa amewataka mawakala wa vyama vya siasa pamoja na waandikishaji wa uchaguzi kufanya kazi kwa weledi ili kuepukana na changamoto zinazoweza kujitokeza. Aliendelea kusema kuwa uaminifu na nidhamu katika zoezi zima la uchaguzi  ni jambo la msingi.

Katika semina hii mkuu wa wilaya aliambatana pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya Korogwe  akiwemo mkuu wa jeshi la Polisi, Uhamiaji na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa. Kamati ya ulinzi na usalama ilisisitiza kuwa ni muhimu mawakala wa vyama vya siasa na waandikishaji wa uchaguzi kuzingatia kanuni na sheria za uchaguzi ili uchaguzi ukamilike kwa amani.

Kwa upande mwingine ndugu Albert Nyan’ali  hakimu mkazi wa mahakama ya mwanzo ya Korogwe aliwaapisha mawakala pamoja na waandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa ili kufanya kazi kwa uadilifu.

Matangazo

  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • KLINIKI YA ARDHI KOROGWE MJI August 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA

    December 12, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI

    December 11, 2025
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MANUNDU WAFURAHISHWA NA UTENDAJI WA MKURUGENZI.

    December 01, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.