• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahamasisha uwekezaji katika sekta ya utalii

Posted on: January 25th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ahamasisha uwekezaji katika sekta ya utalii

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Basilla Mwanukuzi amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji ya Mji wa Korogwe kutenga Bajeti ya kutosha  kwaajili ya uhamasishaji wa uwekezaji wa sekta ya utalii katika Mji wa Korogwe. Maagizo hayo aliyatoa wakati wa Kikao cha Kamati cha Ushauri wa Wilaya (DCC) kilichofanyika Januari 25, mwaka huu katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

“Tutenge Bajeti ya kutosha katika uhamasishaji wa utalii ili tuendane na sera ya uwekezaji hapa nchini” alisema Mhe. Basilla Mwanukuzi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe wakati akipokea Taarifa ya Makadirio ya Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa Mwaka wa Fedha 2022/23. Mhe. Basilla alifafanua kuwa iwaopo Halmashuri itahamasisha uwekezaji katika sekata ya utalii, utalii utasaidia kuchangia mapato ya kutosha katika halmashauri.

“Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya maelekezo yote uliyoyatoa tumeyapokea na tutayafanyia kazi” alisema Ndugu Nicodemus Bei ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Ndugu Bei alifafanua kuwa Halmashauri ya Mji wa Korogwe imejipanga vyema katika kuhakikisha inaongeza mapato ya Halmashauri kwa Mwaka wa Fedha 2022/23.

Kwa upande mwengine, Bw. Jumanne Semagongo ambaye ni Afisa Habari wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe alifafanua kuwa Mji wa Korogwe umebahatika kuwa lango kuu la kuelekea Mikoa ya Kanda ya Kaskazini na kua kituo kikubwa na cha mapunziko ya wageni wakisubiri kuendelea na safari zao.  Pia Mji wa Korogwe umebarikiwa kuwa na utajiri mkubwa wa vivutio vya utalii. Vivutio hivyo vya utalii vinajumuisha Utalii wa Kimazingira, Utalii wa Kihistoria pamoja na Utalii wa Kiutamaduni unaosadifu maisha halisi ya Wananchi wa Mji wa Korogwe.

Kuhusu Taarifa ya Makadirio ya Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa Mwaka wa Fedha 2022/23, Bw. Juma Mhina ambaye ni Mwananchi wa Mji wa Korogwe na Kiongozi wa Dini aliyeshiiriki katika kikao cha Kamati ya Ushauri wa Wilaya alisema “natoa pongezi kwa Mkrurugenzi wa Halmashauri na watalamu wote kwa ujumla kwa kuandaa makadirio mazuri ya Bajeti” Bw. Mhina alifafanua kuwa Bajeti ya Halmashauri katika Mwaka wa Fedha 2022/23 ni nzuri na imeakisi uhitaji halisi wa Wananchi wa Mji wa Korogwe”.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata Sheria na miongozo ya Serikali

    July 01, 2025
  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.