• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

MNEC Paul Makonda atimiza ahadi yake ya kutoa Kiti cha Umeme

Posted on: January 24th, 2024

MNEC Paul Makonda atimiza ahadi yake ya kutoa Kiti cha Umeme

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Mjini Mhe. Thobias Nungu (Nyakusagira) kwa niaba ya MNEC Paul Makonda amekabidhi Kiti cha Umeme kwa ajili ya Mtu Mwenye uhitaji maalumu. Kiti hicho cha Umeme chenye thamani ya Shilingi Milioni Tano kilikabidhiwa kwa Bw. Yohana Kihiyo ambaye ni Balozi wa Nyumba Kumi, Shina Namba Tatu katika Mtaa wa Magunga. Makabidhiano hayo yalifanyika Januari 24, Mwaka huu katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Mjini iliyopo Mtaa wa Majengo.

Wakati ya Ziara ya MNEC Paul Makonda Januari 21, Mwaka huu katika Wilaya ya Korogwe ikiwa ni miongoni mwa Ziara ya Umarishaji wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Kuzungumza na Wananchi hapa Nchini. MNEC Paul Makonda alitoa ahadi ya kumsaidia Bw. Yohana Kihiyo Mtu mwenye uhitaji maalumu wa Kiti ili kiweze kumsaidi kutoka eneo moja hadi jingine wakati akitekeleza majukumu yake ya kila siku. Mbali na Kiti cha Umeme MNEC Paul Makonda Pia alimpatia Bw. Yohana Kihiyo Shilingi Milioni Moja kwaajili ya huduma ya Bima ya Afya.

“Uongozi wa CCM Wilaya ya Korogwe Mjini pamoja na Korogwe Vijijini tunatoa shukrani zetu za dhati kwa MNEC Paul Makonda kwa kumpatia Kiti cha Umeme Bw. Yohana Kihiyo, kiti hiki cha Umeme kitaweza kumrahisishia usafiri wakati akitekeleza majukumu yake.” Alisema Mhe Thobias Nungu (Nyakusagira) ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Mjini. Mhe Nungu alisisitiza kuwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea na utaratibu wa kusikiliza kero za Wananchi na kuzipatia ufumbuzi wa kudumu.

Natoa shukrani kwa MNEC Paul Makonda pamoja Uongozi Mzima wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Korogwe Mjini kwa kunikabidhi Kiti cha Umeme, kiti hichi kitanirahisishia usafiri katika kazi zangu”. Alisema Bw. Yohana Kihiyo ambaye ni mnufaika wa Kiti cha Umeme. Bw. Kihiyo pia alitoa shurani za dhati kwa Bw. Tito Mganwa ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe kwa kumuunga mkono mpaka hatua aliyofikia.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.