• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mratibu wa Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Tanga atembelea miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru 2025.

Posted on: April 10th, 2025

Mratibu wa Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Tanga Bw. Ramadhani Ally akiambatana na  Waratibu  wa Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoani,Katibu Tawala wa Wilaya ya Korogwe Bi. Mwanaidi Rajabu, Bi. Mwashabani Mrope Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa  na Wilaya, Pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Halmashauri ya Mji wa Korogwe amefanya ziara ya kutembelea miradi  na njia itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Mwaka 2025. Ziara hiyo imefanyika katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe Aprili 08, 2025.

Katika ziara hiyo ya Mratibu wa Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Tanga Bw. Ramadhani Ally amesisitiza suala la Uzalendo na Uwajibikaji katika miradi ya Serikali kwa kufuata kanuni na Sheria za Manunuzi kwa kutumia Mfumo wa Manunuzi ( NesT).  Miradi iliyotembelewa na Waratibu wa Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Tanga ni Pamoja na Mradi wa Ujenzi wa Nyumba ya Mganga katika Zahanati ya Lwengera Darajani iliyopo kata ya Old Korogwe, Mradi wa Kikundi cha Vijana uliopo kata ya Majengo.

Mradi wa Ujenzi wa Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Masuguru iliyopo kata Masuguru,Ukarabati wa Vibanda 38 katika Soko kuu la Manundu  vinavyopatikana katika kata ya Manundu, Mradi wa Ujenzi wa Chujio la Maji linalojengwa katika Mtaa wa Kwamkole uliopo kata ya Mtonga, na Mradi wa Mwisho ni Mradi wa Nyumba ya Mwalimu (Two in One) iliyopo  Mtaa wa Msambiazi katika Kata ya Mtonga.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.