• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Misaragambo kupunguza uhaba wa madarasa na ofisi Korogwe mji

Posted on: January 2nd, 2019

Kitakwimu Halmashauri ya mji wa Korogwe ina jumla ya shule za msingi 29 za serekali ambapo kuna upungufu wa vyumba vya madarasa 124, na ofisi za waalimu 45;  hadi sasa jumla ya vyumba vya madarasa 83 na ofisi ziko katika hatua mbalimbali za ujenzi kila shule.

Hata hivyo leo tarehe 02/01/2019 wananchi wa kata ya Mtonga wamejumuika pamoja katika zoezi la msaragambo uliofanyika shule za msingi Msambiazi na Kwamkole. Wakiongozwa na diwani wao mhe. Komba pamoja na viongozi wengine wa serekali za mtaa huo, wamewasaidia mafundi kazi za kubeba maji,kokoto,zege, na mawe kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vitano na ofisi 3.

Licha ya hiyo,ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe imeunga mkono jitihada za wananchi kwa kutoa mchango wa fedha na wataalam ambapo hadi sasa imeshachangia jumla ya shilingi 11,545,000 kwa miradi yote miwili na inaendelea kushirikiana na wananchi katika kila hatua.Pia kuna michango kutoka vyanzo vingine kama vile mfuko wa jimbo jumla 960,000, guvu za jamii jumla 1,900,000, harambee jumla 5,23000  na michango ya wananchi wenyewe jumla 1,753,500 zote kwa pamoja zikifika 16,681,500.

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya  mhula wa masomo kuanza, Halmashauri ya mji wa Korogwe inatarajia kuwa na ongezeko la wanafunzi watakaojiunga na elimu ya msingi kutokana na hamasa kubwa ya elimu bila malipo inayotolewa chini ya serekali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dr. John Pombe Magufuli.Hivyo jitihada zote hizi lengo ni kuwawezesha watoto wote waliofika umri wa kwenda shule kupata sehemu ya kusomea kwa maana ya madarasa.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.