• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wa Uhuru wafungua Miradi ya Shilingi Bilioni 1.4 katika Mji wa Korogwe

Posted on: June 5th, 2022

Mwenge wa Uhuru wafungua Miradi ya Shilingi Bilioni 1.4  katika Mji wa Korogwe

Kiongozi wa Mbio za Mwnge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2022, Sahili Geraruma amekagua na kufungua Miradi ya Maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 1.4 katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Miradi hiyo iliyofunguliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa inajumuisha Miradi ya Elimu, Afya, Maji, Ufugaji wa Kuku, Ujenzi wa Barabara pamoja na Mradi wa Vijana wa Bodaboda. Mwenge wa Uhuru uliwasili katika Mji wa Korogwe na Kupokelewa na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Kalist Lazaro Juni 5, Mwaka huu ukitokea Wilaya ya Lushoto.

Kauli Mbiu ya Mwenge wa Uhuru Mwaka 2022 ni “Sensa ni msingi wa mipango ya maendeleo: Shiriki kuhesabiwa, tuyafikie maendeleo ya Taifa.

“Miradi ya maendeleo ni mizuri na nimeifungua” alisema Sahili Geraruma ambaye ni Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2022. Ndugu Geraruma alisisitiza kuwa ili Serikali iweze kufikia maelengo yake katika ujenzi wa miradi ya maendeleo, Wasimamizi wa Miradi hiyo wanatakiwa kufanya kazi kwa ufanisi ili kuhakikisha Miradi inakamilika bila ya changamoto zozote. Katika hatua nyengine Sahili Geraruma aliwataka Wananchi wote waweze kushiriki katika Sensa ya Mwaka 2022 kwa maendeleo ya Nchi yetu.

“Viongozi na Wananchi wote kwa ujumla tuna furaha kubwa kwa kutufungulia miradi yetu katika Mji wa Korogwe” alisema Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Kalist Lazaro wakati wa ufunguzi wa miradi ya maendeleo. Mhe. Lazaro alifafanua kuwa ushauri wote uliotolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru wameupokea na wataufanyiwa kazi ili kuhakikisha wanaopewa dhamana ya usimamamizi wa miradi wanafanya kazi kwa ufanisi.

Kwa upande mwengine, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini Dkt. Alfred Kimea alitoa shukrani kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha mbalimbali katika Mji wa Korogwe kwaajili ya ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.  Dkt Kimea alisema “Natoa shukrani kwa Mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kunipatia fedha kwa ajiili ya kukamilisha miradi ya Maendeleo katika Mji wa Korogwe”.

 

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.