• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wa uhuru watembelea, wazindua na kuwekea mawe ya msingi miradi ya maendeleo

Posted on: October 8th, 2018

Akitembelea miradi hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita,kiongozi wa mbio za mwenge 2018 Ndugu Charles Kabeho alijionea miradi hiyo na kusema kuwa miradi iliyozinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi inapaswa kukamilika ndani ya muda uliokusudiwa ili kuondoa kero wanazopata wananchi wa Korogwe.Pia alifurahishwa na kikundi cha wajasiria mali kinachojihusisha na utengenezaji wa viatu cha (Vijana Shoes Production) na kuwataka vijana wote kuiga mfano huo ili kuondokana na tatizo la ukosefu wa ajira  na kusadifu sera  ya uchumi wa viwanda.

Mbio za mwenge wa uhuru 2018 katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe ulikimbizwa na kupitia miradi (6) kwa kuiwekea mawe ya msingi miradi 2, kufungua miradi 2 na kukagua miradi 2.Miradi yote ina thamani ya shilingi 2,286,502,796 kwa mchanganuo ufuatao:-

SEREKALI KUU
2,038,727,792
HALMASHAURI YA MJI
8,822,000
MCHANGO WA WANANCHI
36,300,000
WADAU WA MAENDELEO
202,653,004
JUMLA
2,286,502,796

Miradi iliyohusika katika mbio hizo ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya cha Majengo kitakachogharimu jumla ya shilingi 50,200,0000, ujenzi miundo mbinu ya maji Msambiazi jumla shilingi 629,064,434 ujenzi wa jengo la madarasa shule ya msingi Kilole jumla ya shilingi 102,422,000, uboreshaji wa barabara ya Manundu jumla ya shilingi 843,063,358.Pia kuna miradi ya vikundi vya wajasiriamali wadogo chini ya Idara ya maendeleo ya jamii ambavyo ni pamoja na kikundi cha Vijana ushonaji wa viatu cha majengo shilingi 4,300,000 na kikundi cha watengeneza mikate cha (Yagaza bakeri na Snacks Manundu) shilingi 202,653,004.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Waratibu Elimu kata na Wali Wakuu wa Shule za Msingi za Mji wa Korogwe wajengewa uwezo wa usimamizi wa ufundishaji na Ujifunzaji.

    June 27, 2025
  • Mradi wa TACTIC kuimarisha Huduma za Usafirishaji kwa Miji 12 Tanzania.

    June 26, 2025
  • Halmashauri ya Mji wa Korogwe yaadhimisha Siku ya Wajane Duniani.

    June 23, 2025
  • Shule ya Msingi Kwamngumi yalima Hekari mbili za Mahindi

    June 19, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.