• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga akagua miradi ya maendeleo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

Posted on: May 16th, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga Mh. Rajabu Abdallah ambaye ni Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama cha mapinduzi (CCM) Taifa akiambatana na  Halamshauri  kuu ya Chama cha Mapinduzi  Mkoa wa Tanga, pamoja na Halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi Mji wa Korogwe,Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh. William Mwakilema, Mbuge wa Korogwe Mjini  Dkt.Alfred Kimea, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope,akikagua miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Ziara hiyo ya kutembelea miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe imefanyika Mei 16, mwaka huu (2025). Kwa upande mwingine Mh. Rajabu Abdallah alichangia Magunia kumi (10) ya mchele yenye thamani ya Shilingi Milioni mbili na nusu (2,500,000 kwaajili ya chakula cha Wanafunzi wanaokaa Bweni katika Shule ya Sekondari ya Ngombezi.

Miradi iliyotembelewa na Mh. Rajabu Abdalla Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga ni pamoja na  Mradi wa Ujenzi wa Bweni la Wanafunzi  katika Shule ya Sekondari Ngombezi iliyoko Kata ya Mgombezi na Chumba cha maabara ya Sayansi  katika Shule ya Sekonadari New Bagamoyo iliyopo kata ya Bagamoyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura kwa awamu ya pili laendelea Jimbo la Korogwe mjini

    May 17, 2025
  • Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga akagua miradi ya maendeleo Halmashauri ya Mji wa Korogwe.

    May 16, 2025
  • Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

    May 16, 2025
  • Waandishi Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki waapishwa.

    May 15, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.