• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya maendeleo.

Posted on: May 16th, 2025

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mh. Thobias Nungu,katibu wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mh. Evarest Mluge, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe akiambatana  pamoja na kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Waheshimiwa Madiwani wametembelea Ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo. Kwaupande mwingine  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mh. Nungu ametoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bi. Mwashabani Mrope kwa usimamizi mzuri wa fedha za miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali  katika Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Mh. Mwenyekiti alitoa pongezi hizo kwenye ziara  ya  ukaguzi wa miradi ya maendeleo kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Korogwe Mjini  iliyofanyika Mei 15, 2025.

MIradi iliyotembelewa na kamati ya Siasa ya Halmashauri ya Mji wa Korogwe ni pamoja na Ujenzi wa chujio la maji linalojengwa Mtaa wa kwamkole kata ya Mtonga, Ukarabati wa ujenzi wa vibanda soko la Samaki Manundu,Mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Majengo, na Mradi wa mwisho ni  ujenzi wa Nyumba ya Mganga  mfawidhi Zahanati ya Lwengera iliopo kata ya Old Korogwe.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mh. Komba amewataka Watumishi wa Mji wa Korogwe kushirikiana na Mkurugenzi katika kuiletea Maendeleo Halmashauri

    June 11, 2025
  • Nyumba ya Mganga Mfawidhi katika Zahanati ya Lwengera kupunguza Changamoto ya Watumishi.

    June 09, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA MJI WA KOROGWE.

    June 08, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATUA MKOANI TANGA KWA KISHINDO.

    June 06, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.