• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Mji wa Korogwe
Halmashauri ya Mji wa Korogwe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi waJamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
    • Vitengo
      • Tehama na Uhusiano
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Viwanda
    • Mifugo
    • Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Za afya
    • Kielimu
    • Za Maji
    • Za kilimo
    • Mifugo
    • Huduma za watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Elimu, afya,uchumi na maji
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Picha za Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe atembelea Miradi ya Maendeleo

Posted on: August 18th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri  ya Mji wa Korogwe atembelea Miradi ya Maendeleo

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mhe. Francis Komba akiwa na Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala,  pamoja na Wataalamu wa Halmashauri ametembelea na kufanya ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kwa lengo la kuangalia Utekelezaji wa Miradi hiyo na hatua iliyofikia ili iweze kuwahudumia Wananchi. Ziara hiyo imefanyika kwa Siku Mbili kuanzia Agosti 17 hadi 18, Mwaka huu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Korogwe ikiwa ni hatua za kuhitimisha ukaguzi wa Miradi katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2022/ 23.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na Miradi ya Ujenzi wa Shule Mpya, Madarasa, Nyumba za Walimu pamoja na Ununuzi wa Vitanda vya Wanafunzi.  Miradi mingine ni Ujenzi wa Vituo vya Afya, Zahanati pamoja na Ununuzi wa Vifaa vya Matibabu.  Pia Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala walitembelea Mradi wa Kikundi cha Walemavu pamoja na Eneo la Uwekezaji la Wamachinga. Miradi yote iliyotembelewa inatekelezwa kupita Fedha za Serikali Kuu, Fedha za Wahisani kupitia Serikali Kuu pamoja na Fedha za Mapato ya ndani ya Halmashauri.

“Natoa Shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia Fedha za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mji wa Korogwe” alisema Mhe. Francis Komba amabye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe wakati wa ukaguzi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kwamsisi pamoja na Vifaa vya Matibabu katika Kituo hicho. Mhe. Komba alifafanua kuwa Miradi yote ya Afya pamoja na Elimu itakapokamilika itasaidia kuchagiza maendeleo kwa Wananchi wa Mji wa Korogwe.

Katika hatua nyengie, Mhe. Francis Komba alitoa pongezi kwa Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wote. Mhe. Komba alisema, “Natoa pongezi kwa Mkurugenzi pamoja na Wataalamu wote wa Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Elimu, Miradi hii inang’arisha Mji wetu wa Korogwe”. Nae Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Mji wa Korogwe Bw. Tito Mganwa alitoa Shukurani kwa  Mwenyekiti pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala kwa kutembelea Miradi ya Maendeleo na kujionea utekelezaji wa Miradi hiyo.

Matangazo

  • Tangazo la Kazi - Afya December 06, 2024
  • TANGAZO LA KAZI - AFYA November 26, 2024
  • ERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN KOROGWE TOWN UNDER THE TACTIC PROJECT March 09, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Mji wa Korogwe imepokea Chanjo ya Mifugo.

    July 10, 2025
  • Mkurugenzi wa Mji wa Korogwe atembelea Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

    July 10, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Serikali yatatua Changamoto ya Makazi kwa Watumishi wa Umma

    July 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa Muhimu

  • Ukodishaji wa Ukumbi
  • Ukasanyaji wa Taka

Tovuti Zinazohusiana

  • TOVUTI YA SERIKALI
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • MKOA TANGA
  • TUME YA AJIRA
  • PPRA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Korogwe Tanga Tanzania

    S.L.P: 615 Korogwe

    Simu: 0272650050

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@korogwetc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright©2018 Korogwe Town Council. All rights reserved.